Mwanza ni Commercial City?? Vitu vingine ebu kuweni wapole na mtumie akili.. Mfano wa Commercial City Tanzania ni Dar Es Salaam.. Kodi wanakusanya almost 75% ya kodi yote nchini. Hiyo ndiye Commercial City, biashara inafanyika hapo. Mwanza ina population ya 2.7 Million kwa sensa ya 2012, yawezekana sasa imefika 3 Million, mikoa inayozunguka Mwanza na imbayo ingeitegemea Mwanza kama hiyo Mwanza yako ingekuwa kweli ni Commercial City ni Mara yenye population ya 1.7 Million, Shinyanga yenye 1.5 Million, Tabora yenye 2.2 Million na Kagera yenye 2.4 Million.. Yaani kwa kifupi Mwanza imezungukwa na Mikoa yenye population ya 7.8 Million na ukijumlisha na yake ya 2.7 million ni almost 10 Million.
Sasa Mwanza kama kweli ingekuwa ni Commercial City inayolisha hiyo mikoa inayoizunguka lazima mzunguko wa pesa ungekuwa ni mkubwa na pia kodi TRA wangekusanya nyingi tu hata kufikia nusu au theluthi ya Dar Es Salaam. Ila cha ajabu hiyo Commercial City unayosifia inapitwa mpaka na wilaya dhoofu ya Temeke kwa makusanyo ya kodi kwa almost mara mbili zaidi wakati population ya Temeke ni watu laki saba pekee.. Mwanza ni mji dhoofu lakini upo strategically tu, Ukiwachukua watu waliooza meno wao kwao ndio kukawa Mwanza na wa Mwanza wakaletwa Arusha ungekuta leo hii Mwanza inachukuana na Dar kwa makusanyo. Huwezi kuzungukwa na watu Million 10 alafu kodi unakusanya Billion 100 pekee kwa mwaka wakati Arusha yenye watu 1.6 Million inakusanya mara tatu yako...
Angalia makusanyo wa Arusha na Mwanza hapo chini. Mwanza imezidiwa mpaka na Kilimanjaro... Tukisema Mwanza imelala mkubali tu, hatubishani ili mradi uvutie kwako. Mwanza ni strategic City ambayo angalau ilitakiwa ikusanye hata Billion 800 mpaka 900 kwa mwaka. Mwanza kumedorora wala hatusemi kwa ubaya. Soon Mtwara itawaovertake kwa makusanyo..
View attachment 406062