Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,702
- 35,756
Tano au hata 1?
IPO ya nssf imeshatafuna miaka so chini ya 7 haiishi hiyo ndio itakua 5 star ya kwanza Mwanza hizo nyingine ni kama corner bar tu.
Acha kuropoka bila uchunguzi
Onyesha five star hotel kwa chuga...zaid ya parrot ambayo hata hvyo na yenyewe inazungukia kwenye four hata mzigo hsijaanza kupiga fresh....NSSF walianza kujenga five star hotel mwanza mwaka 2014 sa hv wanamalizia finishing
Kama unabisha pitia hii link
MICHUZI BLOG: NSSF KUTUMIA BIL. 72.8 KUJENGA HOTELI YA NYOTA TANO MWANZA
Onyesha five star hotel kwa chuga...zaid ya parrot ambayo hata hvyo na yenyewe inazungukia kwenye four hata mzigo hsijaanza kupiga fresh....NSSF walianza kujenga five star hotel mwanza mwaka 2014 sa hv wanamalizia finishingTano au hata 1?
IPO ya nssf imeshatafuna miaka so chini ya 7 haiishi hiyo ndio itakua 5 star ya kwanza Mwanza hizo nyingine ni kama corner bar tu.