Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,702
- 35,756
Hoja yako ni mfu sana, ntajishusha sana kuijadil but ngoja nkujibu....hao ni wafrika eh hapa mwanzaHapo ni utalii ni sawa na wewe uweke furu na mapanki.
Hoja yako ni mfu sana, ntajishusha sana kuijadil but ngoja nkujibu....hao ni wafrika eh hapa mwanzaHapo ni utalii ni sawa na wewe uweke furu na mapanki.
Nitahamia bwiru kesho...na ukiendelea kupiga kelele naenda na Isamilo,Aisee kweli capripoint ndio kioo chao penyewe pako kama zile concentration camps za Hitler.
Hahaaaaa unadis ila unakubali kiainaHii ni shule ya msingi ya kata gani?
Haya twende kaz sasa😀😀😀😀😀😀😀 huu mchezo hauhitaj hasira mkuu
Mkuu!...nitapataje kiwanja hapo USA nipate oxygen safi?![]()
![]()
![]()
USA River Arusha.
Ok naona completely umehamia porini kwenye lodge nyingi mana hapo mjin pa kchoko sana but mi nakunyuka tuuu..Hapo vipi
![]()
![]()
![]()
Bas we ni mjinga sanaSasa huu ni ujinga gani aisee??
Bado unanitishia half ya hewa...poa mwnza hakuna such climatic condition
Daah...niweke picha za stendi ya Chuga huku Wa mama wakichoma chipsi...mbna utaaibika mkuuArusha stand zipo restaurants na hotels zenye standard hakuna wamama waliopanga benchi na meza wanapikia hapohapo uwanjani kama Mwanza.
Nikupe tu lifestyle ya Arusha naona unasema huko ni porini sababu unaona garden kubwa nzuri ni kwamba watu Wa Arusha hawajengi sehemu iliyobanana kama huko kwenu.Ok naona completely umehamia porini kwenye lodge nyingi mana hapo mjin pa kchoko sana but mi nakunyuka tuuu..
View attachment 405204View attachment 405205View attachment 405206
Hakuna hotel ya Hyatt regency arusha hyo ni proposed na labda ipo under construction, Fiona tower ni incomplete na sidhan kama imeisha, parrot hotel labda imefunguliwa Jana...aim mall haijakamilika...cjui umenielewa we mburura? Au unabisha we masaiNjoo,, kibo palace, mount meru, east Africa hotel, naura spring, palace hotel, njiro cinemax, aim mall, parrot hotel, Fiona tower, ngurdoto lodge, New hyatt regency hotel,,
Mkuu viwanja vipo njoo USA River upate site zipo japo saivi wameru hawauzi hovyo lakini plots zipo kama pesa IPO.Mkuu!...nitapataje kiwanja hapo USA nipate oxygen safi?
Sm hw umeongea point...ila hzo lodge unazoweka zpo more aside frm da city....kama vpi tupia complete scene ya hzo hotel and lodge then tuone surrounded object ni zpi kama sio miti na vichaka...mana mji Wa arusha ukubwa wake ni kama mji Wa tangaNikupe tu lifestyle ya Arusha naona unasema huko ni porini sababu unaona garden kubwa nzuri ni kwamba watu Wa Arusha hawajengi sehemu iliyobanana kama huko kwenu.
Arusha lazima ununue eneo kubwa utakaloweza kujenga nyumba ya maana na gardens za kufa MTU ambapo hata unaweza kupata space ya kufanyia viparty vya kifamilia kikubwa zaidi Arusha wanajali privacy ndiomana hamnaga mambo ya kiswahili huku.
Ok!..nitakuja kufanya surveys na kibunda cha kutoshaMkuu viwanja vipo njoo USA River upate site zipo japo saivi wameru hawauzi hovyo lakini plots zipo kama pesa IPO.
Nikikwambia Ngurdoto imezungukwa na nyumba kila upande utakubali??Sm hw umeongea point...ila hzo lodge unazoweka zpo more aside frm da city....kama vpi tupia complete scene ya hzo hotel and lodge then tuone surrounded object ni zpi kama sio miti na vichaka...mana mji Wa arusha ukubwa wake ni kama mji Wa tanga
Karibu sana Geneva of Africa😀😀😀Ok!..nitakuja kufanya surveys na kibunda cha kutosha
FIESTA NDIO WAKINA NANI HAO??Fiesta wanakuja lini chugaaa?