Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Ukitaka kuijua Arusha vizuri jioni zungukia maeneo ya shivers na mrina pale nyuma ya golden rose.
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Ahsante sana mkuu umemjibu vyema
Halaf mitaa yetu hata km ni Ngaleloo c michafu km dar
Watuachie Ar yetu
 
Arusha is the Geneva of Africa
Tafiti zinaonesha
Arusha ndio mji ambao Kingereza kinaongewa zaidi kuliko sehemu yoyote Tz

Arusha ndio mji pekee ambao unatajwa mara nyingi kwenye Web...

Arusha na Moshi ndio miji inayoongoza kwa wakazi wake kutumia huduma za ki-bank kuliko mji wowote Tanzania.....

Arusha ni mji pekee mitaani unapishana na Wazungu utafikiri ni wenyeji...Miji mingine mzungu akipita watu humshangaa .ila kwa Arusha ni kitu cha kawaida..

Arusha kuna Bureau de Change nyingi kuliko sehemu yoyote Tz ikifuatiwa na Zanzibar na Dar na Moshi..

Arusha ndio mji pekee katikati ya mji ni kusafi na magari yanapaki kwa utaratibu na mpangilio...
 
Ahsante sana mkuu umemjibu vyema
Halaf mitaa yetu hata km ni Ngaleloo c michafu km dar
Watuachie Ar yetu
hujamjibu au kumpa mwanga elimuplatform
kwanini Arusha haibadiliki

  • ukiitaja tu mitaa na majengo ya tangu 1967 ni kweli hayajabadilika hata stend ni bado ya 60's
  • Arusha ardhi ya serikali hakuna kila mtu ni mjanja kamiliki eneo kubwa na kufanya mashamba toka enzi za makabwela,
    • ukiingilia upande wa Mashariki Kikatiti mpaka Meru yote ni ugomvi wa ardhi, ni sawa na Kenya kila mtu anazuia mwenzake au Serukali kuchukua ardhi bila ya fidia
    • ukitolea barabara ya Kisongo nako wamebana hasa, ya Naorobu pia
inachotakiwa sasa siasa ziwekwe pembeni Jiji hilo lihamishwe nje kidogo ya huo Mlima Meru, shuguli za kitalii zibaki hapo mjini tu.
La sivyo Arusha bado ni pachafu, barabara zinazojengwa hata vyakula na usafi ni zero, Wali nyama ya ng;ombe 4.500/= ukigusa chips kuku kwa robo kuku 5,000/ du nyama choma usiombee
 
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni
Arusha is the third largest city in Tanzania with a population of 416,442 people. Arusha is also the capital of the Arusha Region of the country. The current site of the city was first settled at some point in the 1830s by the Masai people who came from the town of Arusha Chini.
Huu Mji (Jiji) ni wa 3 kwa Population lakini hauendelei kwani ni wa kwanza kuanzishwa mwaka 1830 na unaweza kupitwa wakati wowote na Dodoma 1973 au Kahama 2001 kinachotakiwa ni Mipango miji utakayotanua shughuli na miundo mbinu mfano usafiri usipite katikati ya Jiji, iwe kama Dodoma Morogoro Singida nk
Biggest Cities In Tanzania
Rank Biggest Cities in Tanzania Population
1 Dar es Salaam 4,364,541
2 Mwanza 706,543
3 Arusha 416,442
4 Dodoma 410,956
5 Mbeya 385,279
6 Morogoro 315,866
7 Tanga 273,332
8 Kahama 242,208
9 Tabora 226,999
10 Zanzibar City 223,033
Link hii hapa Biggest Cities In Tanzania
 
hujamjibu au kumpa mwanga elimuplatform
kwanini Arusha haibadiliki

  • ukiitaja tu mitaa na majengo ya tangu 1967 ni kweli hayajabadilika hata stend ni bado ya 60's
  • Arusha ardhi ya serikali hakuna kila mtu ni mjanja kamiliki eneo kubwa na kufanya mashamba toka enzi za makabwela,
    • ukiingilia upande wa Mashariki Kikatiti mpaka Meru yote ni ugomvi wa ardhi, ni sawa na Kenya kila mtu anazuia mwenzake au Serukali kuchukua ardhi bila ya fidia
    • ukitolea barabara ya Kisongo nako wamebana hasa, ya Naorobu pia
inachotakiwa sasa siasa ziwekwe pembeni Jiji hilo lihamishwe nje kidogo ya huo Mlima Meru, shuguli za kitalii zibaki hapo mjini tu.
La sivyo Arusha bado ni pachafu, barabara zinazojengwa hata vyakula na usafi ni zero, Wali nyama ya ng;ombe 4.500/= ukigusa chips kuku kwa robo kuku 5,000/ du nyama choma usiombee
Aisee kweli
 
Sio dharura as such, rubani alidhani ametua KIA. Sasa alipotaka kupiga kona kama wanavyofanya KIA akashtukia runaway imeisha.
🙂🙂🙂🙂🙂 Runway imeisha hahahahahaaaa🙄
 
Duh watu mmeleta mahaba tu hapa hakuna asiejua kama arusha ni kuzuri, again arusha ni pazuri mnooo ila kwanini stand ipo vile ,kwanini hakuna kiwanja cha ndege cha maana?
Hahahahaaaa yaaanii wewe...........😀😀
 
Back
Top Bottom