Arusha kwa Mwanza ni mbali mno Arusha ifananishe na Iringa au Dodoma Mwanza ni habari nyingineAisee hii ni league ya Arusha na Mwanza wewe wa Dodoma Tafadhali muone Katavi au Songwe.
Arusha kwa Mwanza ni mbali mno Arusha ifananishe na Iringa au Dodoma Mwanza ni habari nyingineAisee hii ni league ya Arusha na Mwanza wewe wa Dodoma Tafadhali muone Katavi au Songwe.
Namkumbuka kwenye thread ya mza vs ars. Naelewa.Huyo ni mtani wangu huyo haha
Ila watu wa ars wanaongea!Huyo ni mtani wangu huyo haha
Sio double road tu ni flyover wewe lofa papaSema double road iko wapi hapo Arusha? Hujitambui wewe Arusha ni kijijin
Hahahaa mnaendeleaje na kilimo chenu cha darini lakini??Arusha kwa Mwanza ni mbali mno Arusha ifananishe na Iringa au Dodoma Mwanza ni habari nyingine
Flyover za kwenye michoro na ndotoni sio basi sawaSio double road tu ni flyover wewe lofa papa![]()
Unaelewa kitu kinachoendelea Arusha saiviFlyover za kwenye michoro na ndotoni sio basi sawa

Kama ningekuwa baba jessy, cha kwanza kabisa baada ya kuingia ikulu ya magogoni, immediately ningetangaza Arusha ndio mji mkuu wa tz.Tatizo wakija Arusha wanaishia Stand na Unga Limi
Kweli hii ya Arusha-Holili na Arusha bypass ambazo zipo kwenye kasi zitabadilisha taswira ya jiji na zimeshaanza kubadilisha.Arusha barabara zikikamilika itatisha sana. Itabaki kuzidiwa population tu na Mwanza.
Hahahahaha....DaahDah!!! Wasameheni wasukumaaaa hawajui walitendalo,,,,, aiseeeee
Halafu nilichogundua Watu wanaipenda Arusha...Yani kwa wiki JF thread inayohusu Arusha isipoanzishwa hawana raha..Hawa jamaa sijui huwa wanapata wapi pumzi ya kuishushia heshima arusha...!
Na kupeleka mradi wa Five Star Hotel Mwanza ni kupoteza pesa..NSSF wamekula hasara kama walivyokula PSPF na Rock City Mall...Tano au hata 1?
IPO ya nssf imeshatafuna miaka so chini ya 7 haiishi hiyo ndio itakua 5 star ya kwanza Mwanza hizo nyingine ni kama corner bar tu.
Mara ya mwisho kupita Arusha lini..?? Unaelewa kinachoendelea Arusha now...DaahFlyover za kwenye michoro na ndotoni sio basi sawa
Umeelezea jiji la Arusha ama Mkoa wa Arusha?●●●HAHAHAHA....!!!!●●●
Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-
1) Climatic Condition:
Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.
2) Good & Executive Hotels,
Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha
3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.
Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.
4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.
5) Swimming pools za hadhi nzuri sana
6) RALLY & Horse Ridding Je?
zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.
7) Really National Parks
ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.
8) Mt. Meru Je?
Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout
9) Uoto wa Asili je?
Huko Olmotonyi Forest unapajua?
10) Water falls je?
Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo
11) Bar & Night Clubs Je?
Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.
12) Mito na Mabonde je?
13) HipHop Musics Je?
Unawajua hawa?
-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz
Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....
●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Tatizo wanafanya mioyo yao kuwa migumu..Ni kawaida hata ktk biblia kaskazini hua imebarikiwa!..tuwakubali tu walishatutangulia.