kisiki kizito
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 676
- 858
Aim mall,,, under construction near TANAPA HQMkuu achana nae Arusha haijui.
Sable Mall near Arusha Airport![]()
![]()
![]()
![]()
Aim mall,,, under construction near TANAPA HQMkuu achana nae Arusha haijui.
Sable Mall near Arusha Airport![]()
![]()
![]()
![]()
Aim mall,,, under construction near TANAPA HQ
Tatizo wakija Arusha wanaishia Stand na Unga LimiMkuu achana nae Arusha haijui.
Sable Mall near Arusha Airport![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa hata hafaham arusha kuna traffic lights ngap lakn anakuja kuleta ligi humu ndani...!Mara ya mwisho kufika chuga. na gari la dagaa. Ni lini weww msukumaaaa,,, mshambaaa
Kote huko mimi mgeni. Mara ya mwisho kufika ni decades ago!Vipi kuhusu mwanza kiongoz...zipo zipo ngapi...maan hapa ligi kubwa n kati ya mwanza na arusha...dar iweke pembeni...!
Nahiki ndo kilifanya niikubali Arusha,pako vinzuri aise ukiwa na macho ya juujuu hutaona uzuri wakeArusha vitu vizur vipo ndan ndan...na kwa nje huwez ona mpangilio wenye kuonyesha mandhar ya jiji...unaweza kudhan maghorofa yamejificha kwenye miti
halafu kuna packing moja matata●●●HAHAHAHA....!!!!●●●
Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-
1) Climatic Condition:
Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.
2) Good & Executive Hotels,
Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha
3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.
Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.
4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.
5) Swimming pools za hadhi nzuri sana
6) RALLY & Horse Ridding Je?
zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.
7) Really National Parks
ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.
8) Mt. Meru Je?
Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout
9) Uoto wa Asili je?
Huko Olmotonyi Forest unapajua?
10) Water falls je?
Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo
11) Bar & Night Clubs Je?
Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.
12) Mito na Mabonde je?
13) HipHop Musics Je?
Unawajua hawa?
-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz
Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....
●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
kapita siku moja tuMtoa mada nadhani hupajui vizuri arusha
WW UME-COMMENT IMEKUSAIDIA NN??labda arusha ni pabaya sana ila hata paikiwa puzuri kuna maghorofa na kila kitu wewe itakusaidia nn? Hiyo mikoa mizuri mizuri inakusaidia nn kwenye maisha yako? Maghorofa na hoteli na kila kitu vina wenyewe tafuta vyako ufanye kwako pawe pazuri.
Upekee wa watu wa arusha ni upi zaidi ya kuwa na MENO KAMA KASHATA??Mtu anayekuja Arusha anasema Arusha si pazuri anashida zake tu, hajiu lolote kuhusu A City. Umekuja Arusha kufanya nini? Unachapaa kwenda sehemu nzuri? Kumbuka mgeni yeyote mtalii anaweza zunguka Tz lakini akifika Arusha anajua amefika sehemu ya kipekee Tz. Kuanzia hotels, hali ya hewa, watu wake and everything.
Tatizo watanzania wengi wanaotoka mikoa isiyo ya kitalii ni "washamba" na hawajui lolote kuhusu lifestyle ya Arusha na uzuri wake. Hii ndio sababu kuu. Watu wa Arusha ni kama Nairobi....no nonsense type.
Arusha all day everyday
Yeye akiona garden nzuri za Arusha anasema ni porini 😀😀Mkumbushe kuwa ,,, UZUNGUNI kuna kila ya maendeleo ila uwezi kuyaona ukiwa barabarani
Wanakuja na malori ya Dagaa alafu akiona nyumba imezungukwa na garden anasema hapo ni porini mawe yameshamuathiri psychology kule hamna hata mahali pa kuwekea kopo la maua na utamaduni wa kutengeneza gardens hawana kabisa.Tatizo wakija Arusha wanaishia Stand na Unga Limi
Hivi vitu mpaka vifike na manthari kama hii mkoani kwenu ni ndotoUpekee wa watu wa arusha ni upi zaidi ya kuwa na MENO KAMA KASHATA??
Upo wapi aisee, nataka nije kwenye mansion lako...Tatizo wakija Arusha wanaishia Stand na Unga Limi
Naona swahiba wangu Mkuu wa chuo kaja hapaWanakuja na malori ya Dagaa alafu akiona nyumba imezungukwa na garden anasema hapo ni porini mawe yameshamuathiri psychology kule hamna hata mahali pa kuwekea kopo la maua na utamaduni wa kutengeneza gardens hawana kabisa.
Siku ile nilikwambia sema upo wapi nije kukuchukua tupimane ubavu ukasingizia uko site Kwa Mromboo... Njoo hapa mtaa wa uhindiniUpo wapi aisee, nataka nije kwenye mansion lako...
Aise nimemsikia anataka kukutembelea kwenye mansion yako mwambie hii kitu iko dsokoni najua yeye ni professor change hazikosekani.Naona swahiba wangu Mkuu wa chuo kaja hapa
Professor wapi mtumishi wa halmashauri huyo...Aise nimemsikia anataka kukutembelea kwenye mansion yako mwambie hii kitu iko dsokoni najua yeye ni professor change hazikosekani.
View attachment 405502
Hahhaahaa me nikathani ni principal 😀😀😀Professor wapi mtumishi wa halmashauri huyo...