Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Mkuu achana nae Arusha haijui.

Sable Mall near Arusha Airport
111565.jpg
SAM_2573.jpg

IMG_3254.jpg
images
Aim mall,,, under construction near TANAPA HQ
 
Arusha vitu vizur vipo ndan ndan...na kwa nje huwez ona mpangilio wenye kuonyesha mandhar ya jiji...unaweza kudhan maghorofa yamejificha kwenye miti
Nahiki ndo kilifanya niikubali Arusha,pako vinzuri aise ukiwa na macho ya juujuu hutaona uzuri wake
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
halafu kuna packing moja matata
 
labda arusha ni pabaya sana ila hata paikiwa puzuri kuna maghorofa na kila kitu wewe itakusaidia nn? Hiyo mikoa mizuri mizuri inakusaidia nn kwenye maisha yako? Maghorofa na hoteli na kila kitu vina wenyewe tafuta vyako ufanye kwako pawe pazuri.
WW UME-COMMENT IMEKUSAIDIA NN??
 
Mtu anayekuja Arusha anasema Arusha si pazuri anashida zake tu, hajiu lolote kuhusu A City. Umekuja Arusha kufanya nini? Unachapaa kwenda sehemu nzuri? Kumbuka mgeni yeyote mtalii anaweza zunguka Tz lakini akifika Arusha anajua amefika sehemu ya kipekee Tz. Kuanzia hotels, hali ya hewa, watu wake and everything.

Tatizo watanzania wengi wanaotoka mikoa isiyo ya kitalii ni "washamba" na hawajui lolote kuhusu lifestyle ya Arusha na uzuri wake. Hii ndio sababu kuu. Watu wa Arusha ni kama Nairobi....no nonsense type.

Arusha all day everyday
Upekee wa watu wa arusha ni upi zaidi ya kuwa na MENO KAMA KASHATA??
 
Tatizo wakija Arusha wanaishia Stand na Unga Limi
Wanakuja na malori ya Dagaa alafu akiona nyumba imezungukwa na garden anasema hapo ni porini mawe yameshamuathiri psychology kule hamna hata mahali pa kuwekea kopo la maua na utamaduni wa kutengeneza gardens hawana kabisa.
 
Upekee wa watu wa arusha ni upi zaidi ya kuwa na MENO KAMA KASHATA??
Hivi vitu mpaka vifike na manthari kama hii mkoani kwenu ni ndoto

.
images (1).jpg
Tastefully-Furnished-7Bdrm-Houses-For-sale-at-Arusha_11.jpg
130549332681580027.JPG


Hiyo nyumba ya mwanzo iliyozungushiwa maua imejengwa miaka ya 90 USA River ni muda mrefu Arusha ilishakua mbele.

Na pia hiyo mansion inauzwa kama unaitaka niPM upewe key.
 

Attachments

  • 6efdf92f-2353-4a85-a90f-7c8d010223e4-0.jpg
    6efdf92f-2353-4a85-a90f-7c8d010223e4-0.jpg
    130 KB · Views: 48
Wanakuja na malori ya Dagaa alafu akiona nyumba imezungukwa na garden anasema hapo ni porini mawe yameshamuathiri psychology kule hamna hata mahali pa kuwekea kopo la maua na utamaduni wa kutengeneza gardens hawana kabisa.
Naona swahiba wangu Mkuu wa chuo kaja hapa
 
Hivi mwanza wana International school (simaanishi English medium maana mangosha wanaita English medium international) namaanisha zile shule ada ni Mil 10 mpka 20 kwa mwaka...

Mkuu chongchung hebu nisaidie labda wanazo huko Mwanza
 
Back
Top Bottom