Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Jiji halijapangiliwa kabisa at least njiro, moshono,sakina

Nenda kijenge,ungaltd matejo,eso daraja2 na kwingine utashika kichwa unplaned + uchafu mzee
Hahahahahahahaaaaaah naona unawaambia wadau waende wakapaone ungalimi isee unataka wakabwe nn??
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Mwambie aje na fuba ya kushato iseee
 
Nakaa sakina for ur info.
Ukikaa sakina ndio automatically unajua nani owner wa hiyo mall.
Kama ningekua muajiriwa nipo limited sidhani kama ningejua chocho nyingi za Arusha lakini kutokana na mazingira yangu ninaelewa chocho za Arusha.

Sio rahisi kuijua Arusha vizuri basing on tourism entities kama haupo kwenye industry wapo watu wanaishi Arusha lakini Dolly estate hawajui IPO wapi.
 
Arusha Kia km 45,Kia Moshi Km45,hivyo so kweli kuwa At to Kia in km50,kwa kweli sioni hitaji LA kuwa na uhitaji mwingine WA uwanja
 
Arusha ndilo Jiji Pekee Tanzania lenye misitu katikati ya mji. They act like lungs of the city.
Na kweli hapa nikikuambia ni katikati ya mji unaweza usiamini
view-from-a-room-in-the.jpg
 
Hahahahaaaaaah watu wanatokea shamba wanaenda kwa wajomba zao dar wakibahatika kuja arusha wanaanza kusema mara oooh arusha pabaya sjui nini, eleza kwenu kiuhalisia ni wapi af ndo uanze kudisi.. Hatutaki mawaki!!!!!!!!!!!!!
 
ni porini huko
Unajua maana ya recreation centers??
Au city parks??
Master plan ya Kigamboni na ya satellite cities yoyote ile haijawa qualified bila kuwa na recreation centers.

Na jamaa ameielezea correctly kabisa kwamba they are acting like the lungs of the city.
 
Back
Top Bottom