chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,298
- 45,088
Kiongozi ni lazima ujenge Arusha kule Mwanza huwezi kupakubali kama Arusha wewe ni live example Arusha is dope than Mwanza.Nataka kushusha ya kwangu mwenyewe Dolly Estate...
Kiongozi ni lazima ujenge Arusha kule Mwanza huwezi kupakubali kama Arusha wewe ni live example Arusha is dope than Mwanza.Nataka kushusha ya kwangu mwenyewe Dolly Estate...
Nakaa sakina for ur info.Nani kakwambia hiyo investment ni ya mhindi?
Umekariri Arusha ya 1890 saivi maeneo mengi yapo planned kwanza hata Arusha hauijui kaa kimya.
Sakina ipi hiyo mkuu.Nakaa sakina for ur info.
Hahahahahahahaaaaaah naona unawaambia wadau waende wakapaone ungalimi isee unataka wakabwe nn??Jiji halijapangiliwa kabisa at least njiro, moshono,sakina
Nenda kijenge,ungaltd matejo,eso daraja2 na kwingine utashika kichwa unplaned + uchafu mzee
Hahahahahaaaah aisee umesahau kuwatajia tejoooMitaa mingi ya Arusha ni mizuri sana...ila kuna hii ya huku Daraja mbili na Ngalimi..mmm...hadi vinyumba vya matope vipo
Mwambie aje na fuba ya kushato iseee●●●HAHAHAHA....!!!!●●●
Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-
1) Climatic Condition:
Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.
2) Good & Executive Hotels,
Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha
3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.
Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.
4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.
5) Swimming pools za hadhi nzuri sana
6) RALLY & Horse Ridding Je?
zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.
7) Really National Parks
ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.
8) Mt. Meru Je?
Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout
9) Uoto wa Asili je?
Huko Olmotonyi Forest unapajua?
10) Water falls je?
Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo
11) Bar & Night Clubs Je?
Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.
12) Mito na Mabonde je?
13) HipHop Musics Je?
Unawajua hawa?
-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz
Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....
●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.
Uwanja wao wanauita KISONGOCha kushangaza zaidi ni hakuna uwanja wa ndege
Ukikaa sakina ndio automatically unajua nani owner wa hiyo mall.Nakaa sakina for ur info.
Na kweli hapa nikikuambia ni katikati ya mji unaweza usiaminiArusha ndilo Jiji Pekee Tanzania lenye misitu katikati ya mji. They act like lungs of the city.
Njoo tukuzungushe jijini.jiji halichunguliwi ukiwa ndani ya Lori la mkaa !!

ni porini hukoArusha ndilo Jiji Pekee Tanzania lenye misitu katikati ya mji. They act like lungs of the city.
Unajua maana ya recreation centers??ni porini huko
Argument dhaifu.... Tambarare inatengenezwa vizuri tu labda serikali iseme haina pesaMkuu hilo najua ndio mana nkamwambia arusha huwezi kujenga uwanja mkubwa mana tambarare ni sehemu ndogo sana
ni porini huko