Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwaga
Mani kakwambia unakimbia tuliza kiherehere hapo ule facts za USO we kenge wa Bismarck.
tanzania-5.jpg
palace.jpg
117943433_9e0dc2bc67_b.jpg
 
Mkuu wala usihangaike kushambulia.. Mwambie akuwekee analoliita pagala la kishamba kutoka Mwanza. Kama hatakuwekea vile vijumba vya milimani kule hahahahaha... Mwanza nzima nyumba nzuri ni hizi pekee

5149445725_95c9e1350a_b.jpg
68352.jpg
5360615.jpg

Hakuna picha watakuwekea zaidi ya hizi na zile nyingine mbili...
Ahahahaa atatoa wapi cha kuweka kila kona vyoo vya majamvi na masalfeti Mwanza hawana tofauti na India kwenye vyoo kwao hill ni jambo la anasa.
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
1474487054943.jpg
1474487072704.jpg
1474487083407.jpg
ARUSHA sokoni
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
ARUSHA stand ya bus
1474487151367.jpg
1474487165486.jpg
1474487179528.jpg
ARUSHA stand ya bus
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
ARUSHA safari city on the way
1474487298981.jpg
 
Hapana 70% ya wakazi wa jiji wana Huduma ya maji iwe mlinani au bondeni.....changamoto ilikuwa ni matumizi ya vyoo ila sa hv tatizo hilo ni almost zero
Kweli tatizo la vyoo limepata mbadala saivi ni express za toilet bags hahhahaa.
images-4.jpg
 
Hakuna kitu kama hcho zpo kama mbil kama skosei...
We kumbe n bogus....unabishan wakati hata arusha hupajui...sasa haufaham hata arusha kuna traffic lights sehemu ngap umekalia ubishi tu wa kipimbi...!
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni, ila kwa muda wote niliokaa Arusha nimeshangaa sana uzuri wa sura wa mabinti hadi nikatengeneza principal kwamba ukiwa Arusha angalia shape tu sura wengi wazuri kama siyo wote, Arusha na Singida si mchezo kwa upande huwo, maendeleo yapigianeni, Japo njiro na baadhi ya maeneo ni pazuri pia, Unga limited nasikia hapapitiki usiku ni shida, shivers nilikaribishwa nimmepaona lakini hicho siyo kiashiria cha maendeleo Japo kuna wadada wazuri hataree
1474487850608.jpg
1474487862727.jpg
ARUSHA city
1474487900150.jpg
1474487921682.jpg
1474487939014.jpg
1474487962546.jpg
1474487981966.jpg
ARUSHA city
 
We kumbe n bogus....unabishan wakati hata arusha hupajui...sasa haufaham hata arusha kuna traffic lights sehemu ngap umekalia ubishi tu wa kipimbi...!
Huyo tokea aje na Lori la Dagaa miaka ya 2012 hakurudi tena usimshangae sana kiongozi.
 
Unaonaga Wascottish wanavyovaa visketi?? Yani huo ni utambulisho wa machalii wa Arusha.. Inaitwa minyonyoo

Hivi humu wanaishi watu au??

milima+ya+mwanza.jpg
Mkuu unata kuniambia wamo watu huko ndani???????

Hahahahaaaa ni hatari tupu.
 
Nenda njiro na ppf, arusha Kuna cinema za kutosha, uwanja wa ndege burka, Kuna casino za kutosha, na sehemu kibao zinazoshabihiana na "shivers". Naona mkuu hukutembea vizuri, inaelelekea ulikuwa na woga mfukoni (pesa)
 
Back
Top Bottom