Hakuna hotel yeyote yenye hadhi ya nyota 5 hata mt meru yenyewe ina hadhi ya nyota 4,kama ipo itajeUmesahau samaki wa kuokwa pale nick pub,cenema updates pale bugharuu njiro arachuga no sheeda ukiwa na baghee.sio unakuja na lorry la mkaa na vijisent uchwara utaijua stand tu mkuu
Club za Arusha ni za kichoko sana
Halafu usipotoshe uma ww mt meru haina barafu nilishapanda paka kule sado ni vumbi tu
Arusha kwa kipindi hiki utapachukia ni vumbi balaaa