Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Lazima ushangae kwenye jiji la mabilionea kama we we ni kapuku kaa mbali.

Kimemo Estate, Arusha

P6140045.JPG


P6140059.JPG


P6140081.JPG


P1010013.JPG


Clinton alivyoiita Arusha Geneva hakupepesa macho wala kumung'unya ulimi hahahaaaa
Mwanza wakiweka sehemu iko hivi naomba nipigwe life ban... hahahahahaha
 
Kama mambo huyajui uliza hakuna hotel iliyofilisika Arusha zinabadilishwa umiliki tu zipo hotels kama 5 five star tupu mpya Arusha 2 hazina mwaka zinazinduliwa na 3 zipo U/C early stages Arusha will always be a hot cake for tourism.
Unazijua five star hotel? Au unakurupuka tu kama ushuzi recently hakuna five star hotel arusha...labda zifunguliwe Leo....leta data kama ubabisha
Lazima ushangae kwenye jiji la mabilionea kama we we ni kapuku kaa mbali.

Kimemo Estate, Arusha

P6140045.JPG


P6140059.JPG


P6140081.JPG


P1010013.JPG


Clinton alivyoiita Arusha Geneva hakupepesa macho wala kumung'unya ulimi hahahaaaa
 
Mbona kama bado haijaanza kujengwa umetuwekea picha za kupiga badala ya blue print?

Ya kwanza na ya pili zinaonekana kama blueprint lakini zilizobaki ni ziro kabisa.
Umekrupuka....hujui kwa nin nlipost hyo kitu...
 
Jiji halijapangiliwa kabisa at least njiro, moshono,sakina

Nenda kijenge,ungaltd matejo,eso daraja2 na kwingine utashika kichwa unplaned + uchafu mzee

Karibia Tanzania yote haijapangiliwa mipango miji!!
Hii nchi chafu sana sijui hizo wizara na vitengo miaka nenda rudi bajeti zake huwa zinafanya nini.?
Miji mikubwa na midogo ni vurugu mechi makazi holela kila kona.
 
Mkuu niongezee kidogo. Yaani fasheni ikiingia mwanza, Mji mzima unaivaa wanakuwa saresare mji mzima. Alafu useme Mwanza kuna wajanja ?
Acheni uzombie nyie...sasa huu ndo ujanja...I thkn am discussing with nonsense guys

1474477315333.jpg
1474477321014.jpg
1474477327450.jpg
 
Nilichogundua nimeona km uliishia kilombero pale. Mi nimeenda karibu mikoa yote tz lakini miji mizuri huku mikoani ni mwanza ikifuatiwa na arusha. Ila km ukienda kisiasa hasa ukiwa ccm, arusha kamwe sio mji mzuri kila kitu chake ni mbaya.
Hapa umeongea kwa hasira mkuu!!
 
ulichoongea ni cha msingi sana.kwakweli mkurugenzi na madiwani wana kazi ya ziada kuujenga mji huu.ilinishangaza sana walipokuwa wanajenga stand hapo nyuma waliiacha lile jengo la..katikati kwa plan ipi.
 
Unaonaga Wascottish wanavyovaa visketi?? Yani huo ni utambulisho wa machalii wa Arusha.. Inaitwa minyonyoo

Hivi humu wanaishi watu au??

milima+ya+mwanza.jpg
Mkuu na hapa unga limited kwan wanaishi nguruwe?

1474478080876.jpg
1474478085613.jpg
 
Mzungu hapotezi muda akiwa mgeni mji Fulani, anatumia map kwa simu anazunguka sehemu anazoprefer.
Joints nyingi za kijanja zote ziko kwa map ukiwa na simu ya tochi new York anaweza ukalala stand tumia teknolojia positively sio kumfollow Gigy Money huko instra, tumia hata google map basi.
 
Unataka picha??? Haya hii ndio tofauti ya Arusha na Mwanza..

Mwanza mashindano yao maarufu ni mashindano ya langa langa baiskeli...

5.jpg

CHABATA.jpg
safari+mbio+za+baiskeli+3.jpg


Arusha ni mashindano ya Magari..
RC%2BMORO%2BNA%2BWASHINDI.JPG
mbio+za+magari.jpg3.jpg
E86A3420.JPG
DSC01278.JPG


Sasa wewe hadi hapo huoni kuna tofauti kweli??
Hayo mashindano ya bike uliyoweka wewe siyo ya mwanza...tupia link
 
Unataka picha??? Haya hii ndio tofauti ya Arusha na Mwanza..

Mwanza mashindano yao maarufu ni mashindano ya langa langa baiskeli...

5.jpg

CHABATA.jpg
safari+mbio+za+baiskeli+3.jpg


Arusha ni mashindano ya Magari..
RC%2BMORO%2BNA%2BWASHINDI.JPG
mbio+za+magari.jpg3.jpg
E86A3420.JPG
DSC01278.JPG


Sasa wewe hadi hapo huoni kuna tofauti kweli??
Hzo apartments ulizoweka ni michoro/renders not real photos...so ulijarbu kucheat then ukachepukia kwenye mashindano ya bike na magari
 
Kuhusu eti ambulance wala magari hayapiti ni uongo. Ni sehemu chache sana ndizo hazifikiki kwa Gari..

Pili, nakubaliana na mengine yote aliyosema na nilichofurahi zaidi ni 75% ya watu wa huko Unga Limited wanasupport upinzani (CDM) kwa kujua serikali ndio inawakandamiza mpaka wao waishi vile. Lakini pia hakuna mkoa wowote Afrika usio na slums..

Sasa turudi Mwanza, kwanza kabisa 70% ya watu wa Mwanza wanaishi milimani.. Huko milimani hakuna vyoo wala huduma yeyote ya serikali.. Hakuna maji wanategemea ya ziwani.. Ni wenye uwezo wachache sana ndio wana maji kule milimani.. 70% mnaishi milimani, ni hatari sana hiyo..
 
Hzo apartments ulizoweka ni michoro/renders not real photos...so ulijarbu kucheat then ukachepukia kwenye mashindano ya bike na magari
Tofautisha bike na hayo malanga langa..

Unataka picha za Apartments Arusha utaletea nyingi mpaka uchanganyikiwe.. Zingine umewekewa huko juu umeishia kupita kama huzioni
 
Back
Top Bottom