FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Mwanza wakiweka sehemu iko hivi naomba nipigwe life ban... hahahahahahaLazima ushangae kwenye jiji la mabilionea kama we we ni kapuku kaa mbali.
Kimemo Estate, Arusha
![]()
![]()
![]()
![]()
Clinton alivyoiita Arusha Geneva hakupepesa macho wala kumung'unya ulimi hahahaaaa