Demu wangu anafanya nini hapa?Karibu Arusha
Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..Lazima ushangae kwenye jiji la mabilionea kama we we ni kapuku kaa mbali.
Kimemo Estate, Arusha
![]()
![]()
![]()
![]()
Clinton alivyoiita Arusha Geneva hakupepesa macho wala kumung'unya ulimi hahahaaaa
Hapana 70% ya wakazi wa jiji wana Huduma ya maji iwe mlinani au bondeni.....changamoto ilikuwa ni matumizi ya vyoo ila sa hv tatizo hilo ni almost zeroKuhusu eti ambulance wala magari hayapiti ni uongo. Ni sehemu chache sana ndizo hazifikiki kwa Gari..
Pili, nakubaliana na mengine yote aliyosema na nilichofurahi zaidi ni 75% ya watu wa huko Unga Limited wanasupport upinzani (CDM) kwa kujua serikali ndio inawakandamiza mpaka wao waishi vile. Lakini pia hakuna mkoa wowote Afrika usio na slums..
Sasa turudi Mwanza, kwanza kabisa 70% ya watu wa Mwanza wanaishi milimani.. Huko milimani hakuna vyoo wala huduma yeyote ya serikali.. Hakuna maji wanategemea ya ziwani.. Ni wenye uwezo wachache sana ndio wana maji kule milimani.. 70% mnaishi milimani, ni hatari sana hiyo..
Tofautisha bike na hayo malanga langa..
Unataka picha za Apartments Arusha utaletea nyingi mpaka uchanganyikiwe.. Zingine umewekewa huko juu umeishia kupita kama huzioni
Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town centerTembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
Naamin huna hoja ila umeandika kishabiki...anyway kuvuta bangi na viroba ndo ujanja...? Ukitoa dar na Tanga miji yote iyobaki hasa bara watu wake wanaishi traditionally...but Ze way wanavyoish haiwazuii kufanya maendeleo....hapo Chuga watu mtaani wanaongea kimasai, kirangi, kiarusha nk wakiongea kiswahili lafudhi inakuw mbovu kinyamaHuwezi kufananisha jiji la washamba,(mwanza) na arusha hata kidogo
acha uchizi ww;Wakazi wengi wa Arusha ni masikini mafukara wa kutupwa...Watalii na wafanyakazi wa kigeni ndio wanaibeba Arusha
ARUSHA airport ndege kama dala dalaCha kushangaza zaidi ni hakuna uwanja wa ndege
Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town center
Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
Demu wangu anafanya nini hapa?
Kwahiyo Arusha hakuna traffic lights???Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
Hakuna kitu kama hcho zpo kama mbil kama skosei...Kwahiyo Arusha hakuna traffic lights???
Kweli wewe kapuku wa kutupwa hats Arusha hujawahi fika fanya mpango uje kuhiji huku we mlalahoi.
Arusha zipo traffic lights zaidi ya 6 mjini.
Hiyo picha haina tofauti na Dodoma....kumbe Chuga pa kichoko sana...tafuta picha nzur nzur bas mbna unakuwa mshamba we Masai....tupia picha collectively ya mji wa Chuga sio mnatafuta lodge moja moja mnawekaView attachment 404518njoo nae ARUSHA kutembea
Hahahaa liwazaneni tu mmeshapata kipigo cha mbwa mwizi mnajiumauma mambo za kijinga kweli Arusha is way far than you nuts.Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town center
Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwagaHahahaa liwazaneni tu mmeshapata kipigo cha mbwa mwizi mnajiumauma mambo za kijinga kweli Arusha is way far than you nuts.
Wasahamba hats hamjui maana ya real estates!!
The Manor Cottages Arusha
![]()
![]()
![]()
Feel the vibes of the arusha estates hapo hivo vitu kwenu ni ndoto za mang'am-ng'am.
Picha za Arusha ulishawekaga mwenyewe humu.. Sijui unataka nini we jamaa... Alafu wewe kama sio mitindo huru sijui..Hiyo picha haina tofauti na Dodoma....kumbe Chuga pa kichoko sana...tafuta picha nzur nzur bas mbna unakuwa mshamba we Masai....tupia picha collectively ya mji wa Chuga sio mnatafuta lodge moja moja mnaweka
Hapa ndio umefika kama unataka mamega pixels tuliza kirambas tu.Hiyo picha haina tofauti na Dodoma....kumbe Chuga pa kichoko sana...tafuta picha nzur nzur bas mbna unakuwa mshamba we Masai....tupia picha collectively ya mji wa Chuga sio mnatafuta lodge moja moja mnaweka
Kwanza umechanganya.. Huyo aliyepost hiyo sio mimi... Alafu kama Moshi zipo nyingi basi ni vyema kabisa. North Empire..Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwaga