Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Lazima ushangae kwenye jiji la mabilionea kama we we ni kapuku kaa mbali.

Kimemo Estate, Arusha

P6140045.JPG


P6140059.JPG


P6140081.JPG


P1010013.JPG


Clinton alivyoiita Arusha Geneva hakupepesa macho wala kumung'unya ulimi hahahaaaa
Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
 
Kuhusu eti ambulance wala magari hayapiti ni uongo. Ni sehemu chache sana ndizo hazifikiki kwa Gari..

Pili, nakubaliana na mengine yote aliyosema na nilichofurahi zaidi ni 75% ya watu wa huko Unga Limited wanasupport upinzani (CDM) kwa kujua serikali ndio inawakandamiza mpaka wao waishi vile. Lakini pia hakuna mkoa wowote Afrika usio na slums..

Sasa turudi Mwanza, kwanza kabisa 70% ya watu wa Mwanza wanaishi milimani.. Huko milimani hakuna vyoo wala huduma yeyote ya serikali.. Hakuna maji wanategemea ya ziwani.. Ni wenye uwezo wachache sana ndio wana maji kule milimani.. 70% mnaishi milimani, ni hatari sana hiyo..
Hapana 70% ya wakazi wa jiji wana Huduma ya maji iwe mlinani au bondeni.....changamoto ilikuwa ni matumizi ya vyoo ila sa hv tatizo hilo ni almost zero
Tofautisha bike na hayo malanga langa..

Unataka picha za Apartments Arusha utaletea nyingi mpaka uchanganyikiwe.. Zingine umewekewa huko juu umeishia kupita kama huzioni
 
Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town center
 
Huwezi kufananisha jiji la washamba,(mwanza) na arusha hata kidogo
Naamin huna hoja ila umeandika kishabiki...anyway kuvuta bangi na viroba ndo ujanja...? Ukitoa dar na Tanga miji yote iyobaki hasa bara watu wake wanaishi traditionally...but Ze way wanavyoish haiwazuii kufanya maendeleo....hapo Chuga watu mtaani wanaongea kimasai, kirangi, kiarusha nk wakiongea kiswahili lafudhi inakuw mbovu kinyama
 
Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town center
1474484380451.jpg
naura hotel
 
Tembea ujionee hivyo vibanda vya kulingishia kweli..
Jiji hata taa za kuongezea magari hamna
Soko limezidiwa na wanaohitaji..
Standa kuu kama kituo cha Daladala..
Vp niendelee?
Kwahiyo Arusha hakuna traffic lights???
Kweli wewe kapuku wa kutupwa hats Arusha hujawahi fika fanya mpango uje kuhiji huku we mlalahoi.

Arusha zipo traffic lights zaidi ya 6 mjini.
 
Kwahiyo Arusha hakuna traffic lights???
Kweli wewe kapuku wa kutupwa hats Arusha hujawahi fika fanya mpango uje kuhiji huku we mlalahoi.

Arusha zipo traffic lights zaidi ya 6 mjini.
Hakuna kitu kama hcho zpo kama mbil kama skosei...
 
Kila theard ya Chuga utakuta wanapost picha zilezile....af hzo house zipo kama Tatu NNE hvi.. Sa jamaa wanasnap mbele, nyuma ba pemben AF wanakwambia ni real estate.....wanakimbilia porini kusakua lodge af wanakwambia hyo ni town center
Hahahaa liwazaneni tu mmeshapata kipigo cha mbwa mwizi mnajiumauma mambo za kijinga kweli Arusha is way far than you nuts.

Washamba hata hamjui maana ya real estates!!
The Manor Cottages Arusha

phoca_thumb_l_main_house.jpg



phoca_thumb_l_view%20of%20the%20cottages.jpg


phoca_thumb_l_main_house_pathway.jpg


Feel the vibes of the arusha estates hapo hivo vitu kwenu ni ndoto za mang'am-ng'am.
 
Hahahaa liwazaneni tu mmeshapata kipigo cha mbwa mwizi mnajiumauma mambo za kijinga kweli Arusha is way far than you nuts.

Wasahamba hats hamjui maana ya real estates!!
The Manor Cottages Arusha

phoca_thumb_l_main_house.jpg



phoca_thumb_l_view%20of%20the%20cottages.jpg


phoca_thumb_l_main_house_pathway.jpg


Feel the vibes of the arusha estates hapo hivo vitu kwenu ni ndoto za mang'am-ng'am.
Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwaga
 
Hiyo picha haina tofauti na Dodoma....kumbe Chuga pa kichoko sana...tafuta picha nzur nzur bas mbna unakuwa mshamba we Masai....tupia picha collectively ya mji wa Chuga sio mnatafuta lodge moja moja mnaweka
Picha za Arusha ulishawekaga mwenyewe humu.. Sijui unataka nini we jamaa... Alafu wewe kama sio mitindo huru sijui..

13464967984_71c6603253_b.jpg
13464624975_ccaa4f27b9_b.jpg
13464743353_20b18c1867_b.jpg
01TN11-IM1001-arusha-1475.jpg
02TN11-IM1002-arusha-1475.jpg
 
Hiyo picha haina tofauti na Dodoma....kumbe Chuga pa kichoko sana...tafuta picha nzur nzur bas mbna unakuwa mshamba we Masai....tupia picha collectively ya mji wa Chuga sio mnatafuta lodge moja moja mnaweka
Hapa ndio umefika kama unataka mamega pixels tuliza kirambas tu.
The-Arusha-Hotel-Gateway-to-the-Popular-Northern-Safari-Circuit.jpg
1.1354553662.mount-meru-hotel-arusha.jpg
image%3A10712.jpg
 
Fisadi kuu mbna umeniletea mburura sana...daaah we ni mshamba kwel kwel ngoja nikalale....najua Chuga kuna vitu vizur...tafuta tafuta bas....sio kutuletea pagale za kawaida sana hata mosh zipo za kumwaga
Kwanza umechanganya.. Huyo aliyepost hiyo sio mimi... Alafu kama Moshi zipo nyingi basi ni vyema kabisa. North Empire..

Sasa tuwekee pagala la kishamba kama hilo kutoka Mwanza... Nitakufa hapa hapa...
 
Back
Top Bottom