Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Maneno mengi tu lakini TZ mji ni mmoja tu. DAR ES SALAAM. Huko kwingine sijui hali ya hewa sijui milima sijui simba ndo vitu gani? Huko ni porini, jiji kwa TZ ni Dar tu, kiasi na Mwanza.
nakubaliana na ww asilimia Mia moja.....umejaa ushabiki tu ila ukitembea na ukifanya tathmini sina shaka na ulichoandika...kuna watu aidha wanaandika kwakuwa sehemu fulani ndo kwao au chimbiko la jiji nchi hii ni Dar es salaam tu,kidoogo mwanza inafuata pengine ni siasa tu,miji ipiyobaki inafanana sana....huo ni uzoefu wangu...
 
Bado kuna watoto wazuri weupe wenye chura na meno ya dhahabu,ila ktu kikubwa zaidi arusha ni hali ya hewa tamu
 
Huyo atakuwa nmugawa 0713,coz arusha hakunaga soko la hzo mambo
 
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,

ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,

Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni
Mingine ni kama MAVIJIJI mfano Mbeya
 
Mkuu jaribu kutia maguu na shivers pale kuna vivutio vingi sana.

wauza sukari wa pale ni wezi ki K... wale aisee.aangalie sana
pia akiweza apite kwenye ile supermarket ya ngono pale Mrina na Picnic aone vivutio..

ki ukweli hype ya Arusha ni kubwa mno tofauti na uhalisia..
 
Tuache kujifanya wajanja, KIA kiko 50km from Arusha town, then unataka kujenga kiwanja cha ndege? Kwani viwanja vya ndege vimekuwa stend za daladala mpaka kila sehemu ziwepo?!
Wakazi wa Arusha mnatakiwa kulalamikia barabara za mitaa sio kiwanja cha ndege
umenena vema mkuu,umbali toka KIA hadi Arusha ni mfupi sana.
 
Tafiti zinaonesha
Arusha ndio mji ambao Kingereza kinaongewa zaidi kuliko sehemu yoyote Tz

Arusha ndio mji pekee ambao unatajwa mara nyingi kwenye Web...

Arusha na Moshi ndio miji inayoongoza kwa wakazi wake kutumia huduma za ki-bank kuliko mji wowote Tanzania.....

Arusha ni mji pekee mitaani unapishana na Wazungu utafikiri ni wenyeji...Miji mingine mzungu akipita watu humshangaa .ila kwa Arusha ni kitu cha kawaida..

Arusha kuna Bureau de Change nyingi kuliko sehemu yoyote Tz ikifuatiwa na Zanzibar na Dar na Moshi..

Arusha ndio mji pekee katikati ya mji ni kusafi na magari yanapaki kwa utaratibu na mpangilio...
Mkuu Arusha haikauki JF uzuri wanaoleta mada wala sio wenyeji MTU kaleta mkaa anaongelea as if ni mtalii Arusha haiitaji pumzi nyingi kuielezea inajibrand automatically ndiomana kila siku haiwakauki mdomoni.
 
hujamjibu au kumpa mwanga elimuplatform
kwanini Arusha haibadiliki

  • ukiitaja tu mitaa na majengo ya tangu 1967 ni kweli hayajabadilika hata stend ni bado ya 60's
  • Arusha ardhi ya serikali hakuna kila mtu ni mjanja kamiliki eneo kubwa na kufanya mashamba toka enzi za makabwela,
    • ukiingilia upande wa Mashariki Kikatiti mpaka Meru yote ni ugomvi wa ardhi, ni sawa na Kenya kila mtu anazuia mwenzake au Serukali kuchukua ardhi bila ya fidia
    • ukitolea barabara ya Kisongo nako wamebana hasa, ya Naorobu pia
inachotakiwa sasa siasa ziwekwe pembeni Jiji hilo lihamishwe nje kidogo ya huo Mlima Meru, shuguli za kitalii zibaki hapo mjini tu.
La sivyo Arusha bado ni pachafu, barabara zinazojengwa hata vyakula na usafi ni zero, Wali nyama ya ng;ombe 4.500/= ukigusa chips kuku kwa robo kuku 5,000/ du nyama choma usiombee
Arusha ni mji Wa mabilionea kila siku tunapiga debe hapa hamtuelewi ila mkija mnalalamika city bei juu sasa kuna mlalahoi atamudu hili life la kibepari?

Arusha kuishi inahitaji akili kubwa ndiomana washamba washamba hawapo huku kila MTU mjanja.

Na ukitaka kuomba kazi Arusha sharti uwe na uelewa Wa angalau lugha 2 za kimataifa English usiiweke sababu Arusha English ni kama kichagga.
 
●●●HAHAHAHA....!!!!●●●

Wewe bado hujaifahamu Arusha hata kidogo. Ukiwa Arusha kama ni starehe utaenjoy hivi vyoote vifuatavyo:-

1) Climatic Condition:

Kanda ya kaskazini kwa ujumla climate yake ni nzuri sana especcially Arusha na Kilimanjaro.

2) Good & Executive Hotels,

Hotel zote kubwa za Arusha ni za 5 * na zipo za kutosha

3) Misosi, Nyamachoma, All fast foods mpaka vyakula vya asili ya kimasai na kichagga.

Kumbuka: wachoma nyama wazuri wanatokea huku na sio wale wa Dsm wanaobabua nyama kama mahindi ya kuchoma.

4) Arusha ipo karibu sana na Airports 3, yaani KIA, JKIA na mdogo wa Kisongo.

5) Swimming pools za hadhi nzuri sana

6) RALLY & Horse Ridding Je?

zipo karibu kiiila mara na maeneo yaliyotengwa kwaajili hiyo.

7) Really National Parks

ie. Ngorongoro, Manyara, Arusha National Parks, Tarangire.

8) Mt. Meru Je?

Kumbuka: after Kilimanjaro Mt. inafuata Mt. Meru na ina barafu throughout

9) Uoto wa Asili je?

Huko Olmotonyi Forest unapajua?

10) Water falls je?

Kuanzia Duluti juu, Meru na Ilboru juu zipo

11) Bar & Night Clubs Je?

Club D, Masai Camp, Apex, Babylon, Via Via.


12) Mito na Mabonde je?


13) HipHop Musics Je?

Unawajua hawa?

-Watengwa?
-Weusi?
-Nako2Nako
-Juniour Nakoz


Sasa umeifahamu Arusha? Usiishie Stand Mgeni. Karibu....

●ILA WARNING:
Ukitaka kuijua Arusha uwe na PESA.

Apex ipo mtaa gani mkuu?
 
Apex ipo mtaa gani mkuu?
Panda sanawari kutokea traffic lights utakipata hiki kiota cha kibabe kilimanjaro apex hotel nawakubali kwa nyama choma.
Kwa arusha ni ya kwaida sana.

77112618.jpg
 
Wakazi wa Arusha ni wabinafsi. Wana roho mbaya hata ongea yao ya kikatili katili tu mpaka wanawake...Mi nikifikaga Arusha kuna niboa sana kesho yake natamani kuondoka...Bora uishi Njombe au Songea wakazi wa huko wanaroho nzuri sana..
Roho nzuri inauzwa sh ngapi na mimi nikanunue??
 
wauza sukari wa pale ni wezi ki K... wale aisee.aangalie sana
pia akiweza apite kwenye ile supermarket ya ngono pale Mrina na Picnic aone vivutio..

ki ukweli hype ya Arusha ni kubwa mno tofauti na uhalisia..

Hahahahahaha
Ati supermarket ya madada poa wenye meno yaliyooza wao wanadai meno ya dhahabu.
Mrina annex Jirani na Casablanca hapo ni kiwanda
 
The manager however pointed out that despite the drop of aircrafts movements at the terminal, the Arusha Airport still ranked second, from Dar-es-salaam airport (now named Mwalimu Nyerere International Airport) in handling the highest number of aircraft in the country and was in third position from Dar and Mwanza airports in terms of passenger traffic..

Hayo maneno ni ya 2005


Najifunza kitu Mwanza is Far most beautiful compared na Arusha ingawa watu huwa ni wakali humu.

Beaches, kuwa na international airport na ukaribu wa mbuga ya.Serengeti haihtaji mtu kupiga zumari kumbe.
 
Back
Top Bottom