Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
😀😀😀 Arusha nzima itaenda Moshi .......hotel zitajaa sanaa.....Inaishia Moshi chief..
😀😀😀 Arusha nzima itaenda Moshi .......hotel zitajaa sanaa.....Inaishia Moshi chief..
Yeah sana tuu.😀😀😀 Arusha nzima itaenda Moshi .......hotel zitajaa sanaa.....
Huwezi kujua kama hutaki kujua. Nakushauri ukasome ili ujue viwanja kwa kupitia CAA na TAA ndio utagundua kwamba Arusha Airport au kwa code za AITA and CAA inaitwa ARK siyo airfield bali na Regional Airport kama vilivyo Mwanza, Kigoma, Dodoma, Songea, Mtwara Tanga ectHuo uwanja ndio nausikia leo, bila shaka utakuwa mdogo sana........ Shukuruni KIA upo jirani ndio unaokoa jahazi.
Haina stendi ya maana si ya daladala wala mabasi, maendeleo kama yanaenda kwa kusua sua, boda boda mmoja kaniambia angendelea mkwere wangekua mbali,
ila mwenyeji mmoja kaniambia atanionyesha sehemu kadhaa zitakazonifanya niamini kwamba Moshi kwa Arusha si chochote,
Japo upande wa population naona wapo vizuri, kama upo Arusha niambie ni wapi nikienda nitapiga salute na kuacha kufananisha huu mji na sehemu za kawaida, asanteni
Najua unacheka kwa kunikebehi kwa sababu hujui tofauti ya uwanja wa KIA na Kisongo. Ni kwamba ndege inapotua KIA ina ingia kwenye runaway then inakata kona ili iweze kwenda terminal. So kuna option ya kukata kona. Kisongo hakuna option ya kukata kona ili uende terminal. By the way kwani runway haina mwisho?🙂🙂🙂🙂🙂 Runway imeisha hahahahahaaaa🙄
Nakumbuka waliacha kuja Ar toka kipindi kile walipofanyiwa fujo.😀😀😀😀 heheheheeee aisee nimecheka........Hivi mwaka huu FIESTA itapelekwa hadi Arusha au itaishia Moshi - Kilimanjaro?
Who are u mpaka kutousikia kwako kudhibitishe udogo wa uwanja..for your info ni uwanja mkubwa ila hutumika sana na TMA for military training,pamoja na hayo kuna civil avation pia
Heshima yako mzee MwenzanguHahahahaaaa yaaanii wewe...........😀😀
Acha kudanganya ww unaukubwa gan ule uwanja? Au kwa kutua vile vindege vya bob sembeke??
Njoo tukuzungushe jijini.jiji halichunguliwi ukiwa ndani ya Lori la mkaa !!

Salute......tujichange tukafanye tours abroad hii TZ tuwaachie wengine...........Heshima yako mzee Mwenzangu
Watu wa Ar watenda Moshi.....Nakumbuka waliacha kuja Ar toka kipindi kile walipofanyiwa fujo.
Aviation industry naijua vizuri.....na wala sijacheka kukukebehi..... nimecheka hapo ulipoandika runway imeisha!!!Najua unacheka kwa kunikebehi kwa sababu hujui tofauti ya uwanja wa KIA na Kisongo. Ni kwamba ndege inapotua KIA ina ingia kwenye runaway then inakata kona ili iweze kwenda terminal. So kuna option ya kukata kona. Kisongo hakuna option ya kukata kona ili uende terminal. By the way kwani runway haina mwisho?
Kisongo ni uwanja wa ungo sio wandegeCha kushangaza zaidi ni hakuna uwanja wa ndege
The manager however pointed out that despite the drop of aircrafts movements at the terminal, the Arusha Airport still ranked second, from Dar-es-salaam airport (now named Mwalimu Nyerere International Airport) in handling the highest number of aircraft in the country and was in third position from Dar and Mwanza airports in terms of passenger traffic..Aviation industry naijua vizuri.....na wala sijacheka kukukebehi..... nimecheka hapo ulipoandika runway imeisha!!!
Kwa kifupi runway ya KIA ni 3600 meters (3.6km) long na Arusha airport ni 1639 meters (1.6km) long hivyo Arusha airport ina runway fupi ina sehemu pia ya kugeuzia ndege ila si kwa ukubwa wa ile boing ya Ethiopian airline
2005....its over 10yrs....obviously kuna mabadiliko makubwa.The manager however pointed out that despite the drop of aircrafts movements at the terminal, the Arusha Airport still ranked second, from Dar-es-salaam airport (now named Mwalimu Nyerere International Airport) in handling the highest number of aircraft in the country and was in third position from Dar and Mwanza airports in terms of passenger traffic..
Hayo maneno ni ya 2005
Mkuu mabadiliko sio makubwa sana sababu waliipa kisogo na kuamua kuimprove KIA... Na hata hivyo hilo sililaumu, it was very strategic2005....its over 10yrs....obviously kuna mabadiliko makubwa.