Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Arusha kizuri ni mamanzi wazuri lakini wameungua meno nyie jamaa mnaotoka huko toeni point za msingi badala ya kusingizia tafuta mtu akuzungushe, sijui ukija Arusha uwe na hela sijui zunguka wapi tajeni vitu vya msingi ila binafsi Arusha hakuna kitu.....
Vitu vya msingi vipi ndugu Terrence?? Viweke hapa ili tuvijibie
 
Ona sasa mtu mzima unanizidi miaka 50 afu unaleta utoto aagrrr shkamoo kwanza....
Hoja hujibu unaruka ruka tu ,nishasafiri mara mbili nakata tiketi za precision kwenda mwanza ila tunapanda costa hadi KIA sasa kwanini hatuanzii safari Arusha?????

Sasa kwani kuna distance gani ya kutokea chuga hadi KIA, sasa unadhani KIA ingekuwa Arusha, Kilimanjaro wangekuwa na air port gani. Kuna shortcut ya kutokea chuga hadi KIA, unapita old moshi road iyo inapita huku kwa chini ya moshono, chini ya tengeru, usa river hadi mbuguni ambapo unachipukia mahali unatokea kia, same road inafika hadi Moshi, tatizo haina lami tu ila ndio ilikuwa ikitumika zamani. Issue ni kwamba Moshi wasingekuwa na airport. Distance si kitu, kuna majiji unatembea humo ndani umbali wa dsm to moro, watu nowdays wanafanya kazi moshi wanaishi arusha and vice versa.
 
Arusha kizuri ni mamanzi wazuri lakini wameungua meno nyie jamaa mnaotoka huko toeni point za msingi badala ya kusingizia tafuta mtu akuzungushe, sijui ukija Arusha uwe na hela sijui zunguka wapi tajeni vitu vya msingi ila binafsi Arusha hakuna kitu.....
Mkuu kuna vitu Chuga hata dar haioni ndani...shida tu ni kuwa havipo collectively
 
Uwanja wa ndege si upo wa KIA, ulijenga strategically kuhudimia Moshi na Arusha, tena wana uwanja wa ndege ndogo pale kisongo ambao ni mzuri kuliko viwanja vingi TZ ukitoa hivo international airports!
Tatizo lako unafananisha DSM na miko mingine, dar ndo jiji haswa majiji mengine yamepewa hadhi kisiasa tu! Ukitaka fananisha Arusha na sehemu nyingine, ifanishe na Mwanza, Mbeya,Tanga,Ntwara ..... ndo utakuwa unaitendea kazi

Nisichopenda kuhusu Arusha ni barabara za mitaa hakuna, ukiacha barabara kubwa koote kwingine ni vumbi tu na ziko lowly maintaned tofauti hata na Dom
cc: FisadiKuu
 
Dada utajengaje viwanja vikubwa viwili within 50 Kilometers?? It is not economic viable. Kutoka Arusha stand mpaka KIA ni Kilomita 50 hivyo hivyo kutoka Moshi stand mpaka KIA ni kama kilomita 30..

Nchi nyingi tu duniani viwanja vya ndege vipo pembezoni na mji..
Waliojenga hicho kiwanja wana akili sana. Ndege wawili kwa jiwe moja. Yaani mtalii anaetaka kwenda Kilimanjaro/Arusha wanashukia sehemu moja.
 
Maneno mengi tu lakini TZ mji ni mmoja tu. DAR ES SALAAM. Huko kwingine sijui hali ya hewa sijui milima sijui simba ndo vitu gani? Huko ni porini, jiji kwa TZ ni Dar tu, kiasi na Mwanza.
Mkuu we umenena. Dar ndio kila kitu. Anyway ngoja niangalie ligi ya watu wa Mwanza na Arusha hapa maana kila siku wanatunishiana ubavu
 
Nafikiri hats ndege unaionaga tu kwenye TV unasema ulishafika Arusha precision wakakupakia kwenye shuttle KIA wakati hats Arusha airport wanapakia na kushusha?

KeniaenTanzania041.jpg
Ndege naona picha tu kwenye tv bado sijaziona
 
Arusha ingekuwa mbaya na si ya maana msingekuwa mnaanzisha nyuzi humu kila siku, Arusha tuachieni wenyewe wana Arusha.. A cit kila mwenye akili timamu anaitamani washamba tu ndio wanaoiponda wamezoea miji yenye kelel za vigodoro kila uchao, muulizeni huyo mademe wanu Wema mbana kila mara anakuja arusha kula raha na si kuchezesha vigoma vyake? Huko anawachuna pesa anakuja kuileta Arusha, the city to stay.
 
Back
Top Bottom