The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,280
- 118,551
Mleta thread ni lofa na mwenye chuki na uislam
Unafikiri angekuwa na Nia ovu ange ji expose hivyo?, lala usingizi wenye kazi zao walishamuona kabla yako.
Ungeniambia hizo sababu ndugu. Ila mi navoelewa sababu moja wapo ya kuzuia kupiga picha ni suala la ki usalama kabisa. We unadhani wale magaidi wa West Gate ni kwanini hawakukamatwa? Ni kwamba walikua tayari na ramani na picha ya jengo zima na inasemekana wengine walitoroka kupitia mabomba ya ardhini chini ya lile Jengo.Unafahamu sababu ya kuzuia Kupiga picha sehemu muhimu za serikali? Au unaropoka tu!
Utazuia Muuwaji kuua kwa Kuweka Camera ?
Hivi nyie viumbe mmekulia Wapi?
Makafiri tumesha wazoe! We ulitegemea Muimba kwaya ataanzisha uzi wa Maana?Mleta thread ni lofa na mwenye chuki na uislam
Nimejua kwa nn umefanya hicho kitendo just bcuz ana ndevu na amevaa kanzu dah shame on u
Makafiri tumesha wazoe! We ulitegemea Muimba kwaya ataanzisha uzi wa Maana?
Msamehe bure, ni kondoo asiejua anachokifanya.
Tofauti yetu yeye ni dada na mimi ni kaka.Hivi na wewe una tofauti gani na faiza..... Mnalala na kuamka na akili ile ile.....
Udini unawashika miguu.......
Habari wadau.
Leo majira ya Saa 8 mchana, nikiwa Maeneo ya Mlimani city napata mahitaji yangu Mara akatokea jamaa mmoja mwenye asili ya Asia, akiwa na kavaa nguo nyeusi juu mpaka chini na viatu na ndevu ndefu, begi mgongoni na camera mkononi.
Nikiwa pale maeneo ya game lango la kuingilia Game kulia kuna duka la nguo, mara akatokea huyo jamaa akaanza kupiga Picha Eneo la game kwa mbele, kisha akapiga Kwenye roof, pale Kwenye varanda ambayo watu wanapita kwa Juu kuna security camera jamaa akaipiga, kisha akapiga na sehemu za Dari.... Mi namiangalia tuu,kisha akaingia duka la nguo lililo karibu pale.
Nikaondoka kwenda kumwambia Askari pale Kwenye duka la nguo,akasema nae amemuona Ila anamcheki kwanza.
Jamaa kaingia Kwenye Duka la nguo kaangalia nguo za watoto 2kisha kazirudisha, mimi bado namiangalia tu. Akatoka akaingia game ndani, ndipo nami nikaenda kwa Askari wa Pale mlangoni game nikamueleza tukio zima, nikamwambia jamaa mwenyewe ameingia humu ndani.
Akaniambia nae amemuona akiingia ndani, nikamwambia namtilia Shaka kwanini apige Picha Maeneo hayo nilioyataja awali? Akamuita mwenzake kwa Radio call akaja nikamweleza.
Jamaa akawa anatoka pale pale akamsimamisha na kumuhoji maswali yafuatayo:
Tafsiri ya kiswahili chini;
Kwanini unapiga Picha humu?
Umepata wapi idhini ya kupiga Picha?
Nioneshe hizo Picha - Askari akaziona kama nilivyomwambia, akakuta na nyingine za ndani.... akamwamuru a delete zote.
Jamaa akafuta na kusema alikuwa analinganisha duka hili la Hapa Tanzania na Afrika kusini, kwa sababu yanafanana.
Una kibali? Hapana.
Mwisho Askari akamwachia.
Mimi nikamfuata Askari nikamuuliza kwanini umemuachia? Akanijibu Kama angekuwa na Silaha ndo wangebidi wamkamate. So wakamwambia aondoke haraka eneo lile.
Jamaa akatoka akaelekea mpaka pale Exim Bank, halafu akaanza kutembea kama mtu mwingine kuelekea Bureau de Change, nilivomuona tuu, nikatoa simu yangu fasta nikaenda kwa mbele pale Bureau de Change kama nakuja anapotokea nikawa nampiga picha kwa ubavu, na kwa nyuma na huku kama tunapishana vile, akaingia Toilet.
Nami nimo nikaenda huko huko, kufika tukafika pamoja tukakuta wanachomelea Ila watu wanamaliza tuu haja zao, akaniuliza nikamjibu you can proceed, then nikaondoka...
Hivyo tuwe waangalizi wa nchi yetu.
View attachment 305028View attachment 305029View attachment 305030View attachment 305031View attachment 305032
baada ya kuona hii na nikiwaza kwamba wiki ijayo kuna mahafali ya chuo cha udsm yatakayopelekea kuwa na watu wengi sio siri moyo unashtuka na kuingiwa na kahofu fulani...
Racial profiling.