Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,860
- Thread starter
- #361
Tayari kiongoziHauna baya mkuuuuuu
Tayari kiongoziHauna baya mkuuuuuu
Twende tajiri
MwishoLaima - Maila
Usichelewe tena mkuu.Hili limeniumiza sana😭
Nimechelewa madini ya muhimu subiri nichukue yaliyobakia
MwishoDuuh
Wisho usiseme sikukushtua
Lewa hata leo jioni tajiri utuletee madini😁😁😁,Niliwahi kuingia kwenye ndoa mara moja lakini niliingia na mwanamke ambae alinipendeza machoni tu sio moyoni, nilimwonesha dalili zote za kumpenda niliishi nae kwa kadili nilivyoona mimi kwamba nipo sahihi katika maisha ya ndoa tulipata na mtoto lakini mwisho Alitombesha akiwa na mtoto mchanga kabisa. (Siku nikilewa nitasimulia hiki kisa mwanzo mwisho
Hii kitu mpaka leo bdo kinauuma 😆😆😆 ni sawa umefanya mengi, umemchekesha umefuga ndege asiyeonekana umemfta mpaka Newala lakini tunda ukakosa.maana yote aliyoyasema yalitimia (kasoro la kukutana kimwili tu) h
Mwisho usiseme sikukwambia mkuuHatari sana
😂😂😂😂🤣Lewa hata leo jioni tajiri utuletee madini😁😁😁,
😂😂😂 hainiumi tena mkuu ni miaka kumi sasa imepita na sasa nina hela, Tajiri hawezi kuumia kwa kukosa nyapu.Hii kitu mpaka leo bdo kinauuma 😆😆😆 ni sawa umefanya mengi, umemchekesha umefuga ndege asiyeonekana umemfta mpaka Newala lakini tunda ukakosa.
cha kusikitisha ni kwamba Laima anakuona wewe ni rafiki yake tu kama walivyo marafiki wengine
Hakika Tajiri huna baya😃😃😃, Hongera kwa uandishi lakini hata kama ni kisa cha kweli umekifanya kiwe exciting🫡🫡😂😂😂 hainiumi tena mkuu ni miaka kumi sasa imepita na sasa nina hela, Tajiri hawezi kuumia kwa kukosa nyapu.
Asante mkuu.Hakika Tajiri huna baya😃😃😃, Hongera kwa uandishi lakini hata kama ni kisa cha kweli umekifanya kiwe exciting🫡🫡
Shusha madudeee