Niliamini ananipenda kumbe alinifanya kichekesho

Niliamini ananipenda kumbe alinifanya kichekesho

Dah sorry mkuu wadau ni wengi, kwahiyo nilikuwa nawatag wote ghafla ikaingia simu ya Davido, nilipomaliza kuongea nae nikasahau kila kitu maana hela yangu ameididimiza kizembe sana yule mpumbavu.
Samahan mkuu rafiki yako deo jina lake maarufu ni davido
 
Samahan mkuu rafiki yako deo jina lake maarufu ni davido
No ni Davido huyu wa Nigeria kuna mchongo mdogo nilimpa wa kama dola la laki moja tu, sasa ananiambia ameipoteza program ambayo ndiyo ilikuwa na kazi yenyewe.
 
Wakina hanifa wakiiona hii post na wakajua kama official Kim ndiyo kaandika lazma watume wajumbe elf kumi kuomba msamaha
😁😁😁 Kwa sasa mimi sio levo zao labda kulisha samaki wangu wa mapambo.

hapo kwa Davido nilikosea kuandika, sio dola moja ni dola laki moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom