Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

Niliacha pombe sasa hivi nimerudia ulevi tena

  • Matumizi ya pombe si mabaya kama unatumia kwa kiasi.​
  • Ikifikia atua unakunywa pombe mpaka unalala bar au mpaka pesa yote iishe ndio uondoke, juwa tayari kuna tatizo la kiroho.​
  • Na wewe mwenyewe hutoweza kujiondoa kwenye hiyo njia, mpaka upande mwingine ukutoe huko uliko, iwe ni maombi, ushauri wa kisaikolojia n.k kwa sababu ile kukesha mazingira yale si akili yako.​
 
hapa kweli uli jishitukia mapema, maana u monk na popping up in violence ni mbali mbali.

Halafu Dunia Inge kuwa pweke, nawaza violence action tunge zionea wapi?
Nimepitia the entire electromagnetic wave spectrum.

Kwenye u monk huko unafanya violence against violence kwa mindfulness mwditation.

Yani unachunga mawazo yako against violence, si kwa watu tu, bali hata kwa sisimizi, wazo la violence likiibuka tu unalikamata na kulijua hili wazo la violence nalitoa mawazoni.
 
Kuna siku tuli kuwa sehemu kwenye tafrija, nilipo onekana sinywi Kuna mtu ali weka 1m ili nipige funda 1 tu.

Nika mwambia hiyo hela akatumie kuotesha nywele, maana ana kipara kisicho na unywele Kama sinia la chuma.
Hahaaa,

Ujue una kiburi fulani kisichoyumbishwa na pesa ndogo.

Vipi angeweka 1 billion hapo?
 
Mkuu siku ukiacha tena pombe utakuwa fala sana.....jitahidi ujicontrol kuwa na kiasi na vipaumbele vyako vianze kwanza kisha pombe ndio ufuate.

#Pombe ni maisha
Ntaunda jopo zito ntaongoza Mimi na min_me, mshana jr, paschal mayalla, monetary doctor na wadau mbali mbali tunao piga mvinyo kwa staha na tunafanya mambo mazuri bila kuathiriwa na pombe
 
Hahaaa,

Ujue una kiburi fulani kisichoyumbishwa na pesa ndogo.

Vipi angeweka 1 billion hapo?
Hahaha,

amini usi amini, nisinge diriki kunywa hata kidogo.

Pesa Ina maana gani Kama nashindwa kusimamia maadili ya utu na maamuzi yangu?.

Halafu akili za binadamu ni mbovu, leo wata kunywesha funda 1 kesho wata kupa crate Zima.
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Ukiacha pombe usije kusema ngoja nijaribu kidogo,ile kidogo huwa inakuwa tamu sana,matokeo yake unajikuta umerudi tena mazima,ukiamua kuacha acha kabisa...
 
Hivi hizi story za kuwa walevi hawamudu tendo la ndoa mnazitoa wapii? Sijawahi amini hiki ktu kabisa.
Ukipiga konyagi ikiwa upo HIGH sijawai ona show mbovu.

😁Hapa inabidi kumwita Chizi Maarifa aje atoe neno maana Juzi Kati katuwekea list ya staili za kusakata mbususu/ papuchi Tena kwa msululu MREFU.
 
Ninepitia the entire electromagnetic wave spectrum.

Kwenye u monk huko unafanya violence against violence kwa mindfulness mwditation.

Yani unachunga mawazo yako against violence, si kwa watu tu, bali hata kwa sisimizi, wazo la violence likiibuka tu unalikamata na kulijua hili wazo la violence nalitoa mawazoni.
Nakumbuka nili wahi kukutana na Jamaa mmoja ali kuwa ana penda kuosha sahani nyeupe,

Nilipo muuliza kwanini ana penda kufanya hivyo, ali jibu kuwa ana safisha ubongo wake kwa kujaribu kujutia na kuji funza kupitia matendo yake ya nyuma.

Mpole Sana yule Jamaa, ali nifundisha kutumia pumzi Kama sehemu ya kufikiri.
 
Kabla ya kufikilia kuacha Pombe ngoja kwanza nijiulize maswali haya machache
1.Why niache pombe??
2.Nikiacha n itakuwa nakunywa nini??
3.Why Nilianza kunywa pombe??
Niliwai kujaribu kupumzika nilikuwa Malaya kupindukia nikapigwa na UTI hyo eti vidudu 107 uko. Nikapiga dose nimerudi zangu kwenye deer gambe
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Mkuu angalia usipigwe miti na wahuni.
Nilliwahi shuhudia vijana wawili wa mtaani wakienda kumuingilia mwenzao kinyume kisa mshikaji kalewa chakari. Mpaka leo lile tukio sijawahi lisahau. Kuwa makini.
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
1.Me nimeacha pombe nina miaka 3 ila haikua rahisi kabisa kuna kitu kinaitwa RELAPSE ni noma..cha kwanza kabisa mshirikishe mungu wako mana hapo unapambana na roho...asikudanganye mtu utaoenda kuombewa utaacha pombe NO,anza na moyo wako..
2.Kingine futa makundi yote ya pombe ikiwezekana badil line yako ya simu ili kuwakwepa walevi mana unaweza ukawa na nia njema yakuacha makund yakakurudisha tena
3.tafuta mbadala wa pombe yan kitu kitakachokufanya uwe bize,kama ni mtu mazoez bas anza tiz na huu ni mbadala ambao utakufanya uwe bize,au ukiskia kiu ya bia kunywa juis au tafuta shughul fanya ndan ya muda ule hamu itaisha
4.hakuna muujiza kwenye UTEJA wa aina yeyote ni je UMEKUBALI KUBADILIKA? hakuna atakayekubadilisha ila ni wewe mwenyewe
 
Wakuu habari za mda huu

Natumaini mpo wazima niliacha pombe mwaka Jana mwezi wa 7 Hadi mwaka huu mwezi wa 4 nimejikuta narudia Tena ulevi nalewa Hadi napoteza simu hii Hali siipendi kabisa niliwahi kuambiwa ni kurogwa ila kwakweli nahitaji mtu ata wa kunifanyia therapy niachane na hili tatizo

Najichukia nilivyo
Fanya hivi. Epuka kukaa na makundi ya walevi.
 
Back
Top Bottom