Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuataUlifanikisha vip mkuu naona story yako inanivutia hivi.....
Hongera sana boss.Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuata
So nilinunua diary na kulist biashara 5 ntakazoweza kuzifanya....nkapiga hesabu ya mtaji maana nilibakiwa na boom 1 tuuu...!!ilikuwa kama 520k
Nkachanganua biashara zote nkaona fursa ipo kwenye duka....na kama bajet ikiwa haiend niende kwenye kilimo
Baada ya kuchanganua wapi kuna wepesi zaidi ndipo nilipoona fursa kwenye duka
Ilikuw bdo mwezi m1 nimalize UE nkaandka barua ya kuahirisha masomo....!!nkauza almost kila kitu maana nlkuwa nmpanga...!!then nkarudi dsm kupambana rasmi(hapo niliowaacha chuo walinisema saana....na skumuambia mtu yyte home kama nmeahirisha masomo....MPAKA SASA)
Nikafungua frem nkaweka vitu kulingana na mtaji nlonao....nkawela huduma ya vocha za kurusha na kuchajisha cm....kazi ikaanza
Nilipokea changamoto maana kulikuwa na maduka mengine ma3 jiran nami...lkn sikukata tamaa...!!nilipambana just kwa kuwa mcheshi na mkarimu kwa wateja...!!
Sikuchukua faida bali niliizungusha humo humo mpk duka lilipoanza kukua...!!
Nilipambana kujaza vitu....na kujifunza kupitia kwa wauza maduka wengne....kuna muda ilinibidi nitoe pesa kununua kitu ili tu maswali yangu yajibiwe...!!
Now Maisha yanaenda...sijafika nnapotaka lkn kesho yangu naiona
Nimepanga chumba
Kila kitu nmeweka
Nakula nnachotaka
Wale waliomaliza chuo tuliosoma pamoja wanaona aibu ht kuniangalia...!!wengne wapo mikoan wananiomba waje lkn kwakweli sijafikia level ya kuajiri mtu bado...na pia nnajua hii biashara ukmuachia bnadam mwenye majukum itaanguka
Kkubwa ni kuwa tusikate tamaa....!!Tusimsahau Mungu pia
Lakini kkubwa Mapenzi tupunguze kidooogo...tufocus kwenye kutafta pesa
View attachment 1181143View attachment 1181144View attachment 1181145View attachment 1181146View attachment 1181147View attachment 1181148View attachment 1181149View attachment 1181150View attachment 1181153View attachment 1181154View attachment 1181156
Akili za kuambiwa changanya na zakoSi mnadanganyana humu wasiosoma matajiri kuliko walisoma...
Thanks mkuuHongera sana boss.
hko vzr mkuu, ata mm nakimbizana na goli langu kama lakoHalafu kitu kingine biashara sio vitu....biashara n muuzaji...muuzaji akiwa dhaifu bas lazma biashara lazma ianguke
Half kngne usikurupuke...fanya uchunguzi....!!
Mimi mwenyew nilipostpone masomo mwaka wa mwsho baada ya kuona ntamaliza boom bila ya kujiandaa na maisha...maana hali ya ajira niliiona
Lakini nilifanya research miezi mi3 kabla biashara gn ya kuweka na jinsi ya kuisimamia...mpk sasa mambo yanaenda vizuri tu
View attachment 1181065
hongera mkuu umewainspire vijana wengi sana kwa hii feedback yko, kwamba pambana and never give up, je ulianza rasmi mwaka gani?? Unakunja kiasi kwa siku?? Yaan mauzo. Mimi nilianza mwaka jana mwishoni, development mpk sasa nasema Asante Mungu.Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuata
So nilinunua diary na kulist biashara 5 ntakazoweza kuzifanya....nkapiga hesabu ya mtaji maana nilibakiwa na boom 1 tuuu...!!ilikuwa kama 520k
Nkachanganua biashara zote nkaona fursa ipo kwenye duka....na kama bajet ikiwa haiend niende kwenye kilimo
Baada ya kuchanganua wapi kuna wepesi zaidi ndipo nilipoona fursa kwenye duka
Ilikuw bdo mwezi m1 nimalize UE nkaandka barua ya kuahirisha masomo....!!nkauza almost kila kitu maana nlkuwa nmpanga...!!then nkarudi dsm kupambana rasmi(hapo niliowaacha chuo walinisema saana....na skumuambia mtu yyte home kama nmeahirisha masomo....MPAKA SASA)
Nikafungua frem nkaweka vitu kulingana na mtaji nlonao....nkawela huduma ya vocha za kurusha na kuchajisha cm....kazi ikaanza
Nilipokea changamoto maana kulikuwa na maduka mengine ma3 jiran nami...lkn sikukata tamaa...!!nilipambana just kwa kuwa mcheshi na mkarimu kwa wateja...!!
Sikuchukua faida bali niliizungusha humo humo mpk duka lilipoanza kukua...!!
Nilipambana kujaza vitu....na kujifunza kupitia kwa wauza maduka wengne....kuna muda ilinibidi nitoe pesa kununua kitu ili tu maswali yangu yajibiwe...!!
Now Maisha yanaenda...sijafika nnapotaka lkn kesho yangu naiona
Nimepanga chumba
Kila kitu nmeweka
Nakula nnachotaka
Wale waliomaliza chuo tuliosoma pamoja wanaona aibu ht kuniangalia...!!wengne wapo mikoan wananiomba waje lkn kwakweli sijafikia level ya kuajiri mtu bado...na pia nnajua hii biashara ukmuachia bnadam mwenye majukum itaanguka
Kkubwa ni kuwa tusikate tamaa....!!Tusimsahau Mungu pia
Lakini kkubwa Mapenzi tupunguze kidooogo...tufocus kwenye kutafta pesa
View attachment 1181143View attachment 1181144View attachment 1181145View attachment 1181146View attachment 1181147View attachment 1181148View attachment 1181149View attachment 1181150View attachment 1181153View attachment 1181154View attachment 1181156
Mbona hili duka limejaa foma gold?Halafu kitu kingine biashara sio vitu....biashara n muuzaji...muuzaji akiwa dhaifu bas lazma biashara lazma ianguke
Half kngne usikurupuke...fanya uchunguzi....!!
Mimi mwenyew nilipostpone masomo mwaka wa mwsho baada ya kuona ntamaliza boom bila ya kujiandaa na maisha...maana hali ya ajira niliiona
Lakini nilifanya research miezi mi3 kabla biashara gn ya kuweka na jinsi ya kuisimamia...mpk sasa mambo yanaenda vizuri tu
View attachment 1181065
Aaah wewe hongera mkuu, hili duka limeanza kwa boom la 500K linamuda gani sasa wewe sasa ndio mjasiliamri mimi japo nilistuka najiona boya sasa japo najipongeza nisingrstuka ningekosa hata pesa za bando.Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuata
So nilinunua diary na kulist biashara 5 ntakazoweza kuzifanya....nkapiga hesabu ya mtaji maana nilibakiwa na boom 1 tuuu...!!ilikuwa kama 520k
Nkachanganua biashara zote nkaona fursa ipo kwenye duka....na kama bajet ikiwa haiend niende kwenye kilimo
Baada ya kuchanganua wapi kuna wepesi zaidi ndipo nilipoona fursa kwenye duka
Ilikuw bdo mwezi m1 nimalize UE nkaandka barua ya kuahirisha masomo....!!nkauza almost kila kitu maana nlkuwa nmpanga...!!then nkarudi dsm kupambana rasmi(hapo niliowaacha chuo walinisema saana....na skumuambia mtu yyte home kama nmeahirisha masomo....MPAKA SASA)
Nikafungua frem nkaweka vitu kulingana na mtaji nlonao....nkawela huduma ya vocha za kurusha na kuchajisha cm....kazi ikaanza
Nilipokea changamoto maana kulikuwa na maduka mengine ma3 jiran nami...lkn sikukata tamaa...!!nilipambana just kwa kuwa mcheshi na mkarimu kwa wateja...!!
Sikuchukua faida bali niliizungusha humo humo mpk duka lilipoanza kukua...!!
Nilipambana kujaza vitu....na kujifunza kupitia kwa wauza maduka wengne....kuna muda ilinibidi nitoe pesa kununua kitu ili tu maswali yangu yajibiwe...!!
Now Maisha yanaenda...sijafika nnapotaka lkn kesho yangu naiona
Nimepanga chumba
Kila kitu nmeweka
Nakula nnachotaka
Wale waliomaliza chuo tuliosoma pamoja wanaona aibu ht kuniangalia...!!wengne wapo mikoan wananiomba waje lkn kwakweli sijafikia level ya kuajiri mtu bado...na pia nnajua hii biashara ukmuachia bnadam mwenye majukum itaanguka
Kkubwa ni kuwa tusikate tamaa....!!Tusimsahau Mungu pia
Lakini kkubwa Mapenzi tupunguze kidooogo...tufocus kwenye kutafta pesa
View attachment 1181143View attachment 1181144View attachment 1181145View attachment 1181146View attachment 1181147View attachment 1181148View attachment 1181149View attachment 1181150View attachment 1181153View attachment 1181154View attachment 1181156
Good! Unatia moyo wengi!Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuata
So nilinunua diary na kulist biashara 5 ntakazoweza kuzifanya....nkapiga hesabu ya mtaji maana nilibakiwa na boom 1 tuuu...!!ilikuwa kama 520k
Nkachanganua biashara zote nkaona fursa ipo kwenye duka....na kama bajet ikiwa haiend niende kwenye kilimo
Baada ya kuchanganua wapi kuna wepesi zaidi ndipo nilipoona fursa kwenye duka
Ilikuw bdo mwezi m1 nimalize UE nkaandka barua ya kuahirisha masomo....!!nkauza almost kila kitu maana nlkuwa nmpanga...!!then nkarudi dsm kupambana rasmi(hapo niliowaacha chuo walinisema saana....na skumuambia mtu yyte home kama nmeahirisha masomo....MPAKA SASA)
Nikafungua frem nkaweka vitu kulingana na mtaji nlonao....nkawela huduma ya vocha za kurusha na kuchajisha cm....kazi ikaanza
Nilipokea changamoto maana kulikuwa na maduka mengine ma3 jiran nami...lkn sikukata tamaa...!!nilipambana just kwa kuwa mcheshi na mkarimu kwa wateja...!!
Sikuchukua faida bali niliizungusha humo humo mpk duka lilipoanza kukua...!!
Nilipambana kujaza vitu....na kujifunza kupitia kwa wauza maduka wengne....kuna muda ilinibidi nitoe pesa kununua kitu ili tu maswali yangu yajibiwe...!!
Now Maisha yanaenda...sijafika nnapotaka lkn kesho yangu naiona
Nimepanga chumba
Kila kitu nmeweka
Nakula nnachotaka
Wale waliomaliza chuo tuliosoma pamoja wanaona aibu ht kuniangalia...!!wengne wapo mikoan wananiomba waje lkn kwakweli sijafikia level ya kuajiri mtu bado...na pia nnajua hii biashara ukmuachia bnadam mwenye majukum itaanguka
Kkubwa ni kuwa tusikate tamaa....!!Tusimsahau Mungu pia
Lakini kkubwa Mapenzi tupunguze kidooogo...tufocus kwenye kutafta pesa
View attachment 1181143View attachment 1181144View attachment 1181145View attachment 1181146View attachment 1181147View attachment 1181148View attachment 1181149View attachment 1181150View attachment 1181153View attachment 1181154View attachment 1181156
Motivational speakers wana maneno ya matuamin sana ila nafikir wao kwa kias fln au wachache kati yao hua hawa-face reality ila wana practical theory in mind ambay wana wa-encourage wengine wafanye ili-hali wao hawajigusi..sasa kupitia hapo ndy wanapata hela za kula!Nadhani haya ni moja ya matokeo motivational speakers, hapa jamaa atakuwa alijaribu kumuiga Bill Gates.
Excellent kijana √√Kwanza niliona watu waliomaliza almost awam 3 wapo mtaan na mim nngefuata
So nilinunua diary na kulist biashara 5 ntakazoweza kuzifanya....nkapiga hesabu ya mtaji maana nilibakiwa na boom 1 tuuu...!!ilikuwa kama 520k
Nkachanganua biashara zote nkaona fursa ipo kwenye duka....na kama bajet ikiwa haiend niende kwenye kilimo
Baada ya kuchanganua wapi kuna wepesi zaidi ndipo nilipoona fursa kwenye duka
Ilikuw bdo mwezi m1 nimalize UE nkaandka barua ya kuahirisha masomo....!!nkauza almost kila kitu maana nlkuwa nmpanga...!!then nkarudi dsm kupambana rasmi(hapo niliowaacha chuo walinisema saana....na skumuambia mtu yyte home kama nmeahirisha masomo....MPAKA SASA)
Nikafungua frem nkaweka vitu kulingana na mtaji nlonao....nkawela huduma ya vocha za kurusha na kuchajisha cm....kazi ikaanza
Nilipokea changamoto maana kulikuwa na maduka mengine ma3 jiran nami...lkn sikukata tamaa...!!nilipambana just kwa kuwa mcheshi na mkarimu kwa wateja...!!
Sikuchukua faida bali niliizungusha humo humo mpk duka lilipoanza kukua...!!
Nilipambana kujaza vitu....na kujifunza kupitia kwa wauza maduka wengne....kuna muda ilinibidi nitoe pesa kununua kitu ili tu maswali yangu yajibiwe...!!
Now Maisha yanaenda...sijafika nnapotaka lkn kesho yangu naiona
Nimepanga chumba
Kila kitu nmeweka
Nakula nnachotaka
Wale waliomaliza chuo tuliosoma pamoja wanaona aibu ht kuniangalia...!!wengne wapo mikoan wananiomba waje lkn kwakweli sijafikia level ya kuajiri mtu bado...na pia nnajua hii biashara ukmuachia bnadam mwenye majukum itaanguka
Kkubwa ni kuwa tusikate tamaa....!!Tusimsahau Mungu pia
Lakini kkubwa Mapenzi tupunguze kidooogo...tufocus kwenye kutafta pesa
View attachment 1181143View attachment 1181144View attachment 1181145View attachment 1181146View attachment 1181147View attachment 1181148View attachment 1181149View attachment 1181150View attachment 1181153View attachment 1181154View attachment 1181156
nichek PM.Naanza kwa kuwasalimu ndugu zangu wa JF
Directly niende kwenye mada, mimi ni kijana umri wa miaka 21, nilimalza A-LEVEL mwaka jana na nikachaguliwa kujiunga chuo.
Even though nilikidhi vigezo ila sikuweza kuchaguliwa course niliyoitaka. Kutokana na umasikini na ufukara ulioikumba familia yangu ilinilazimu nikasome course hiyo hiyo, hivyo maisha yangu ya chuo sikuwah kuwa na furaha kutokana na kusoma kitu ambacho sikipendi hali iliyopelekea kupata supplementary course nne kati ya saba kwa semester ya kwanza.
Hali hiyo ilnikatsha tamaa na kuamua kuchukua maamuzi magumu ya kuacha chuo na kujiingiza kwenye ujasiriamali. Boom la mwisho kupokea ilinilazimu niondoke nalo na kuanza maisha mapya Jijini Dar. Nilitafuta sehemu local nikalipa pango la miezi mitatu na kuanza biashara ya kuuza mtumba.
Hadi sasa nimepotez mtaji na sijui nini la kufanya na hadi dakika hii mama kjijini anajua niko chuoni nasoma nikamkomboe kwenye umasikini.
So what I request my dear sisters and brothers, kama kuna mtu yeyote anaweza kunipa kazi ya kufanya niko tayari maana hapa pango limeisha na sina hela ya kulipa tena pango. Nawaz nirudi kjijini ila sijui namweleza nini mama akanielewa.
Pia kama kuna mfadhili yuko tayari kunisomesha tuandikiane mkataba nimlipe nikipat kazi kwa riba ile ile ya HESLB maana kule siwezi kukopesheka tena mpaka nilipe kiasi fulani nitashukuru.
Ahsantee
Ingependeza ungetushirikisha hiyo biashara uliyowekeza 150000/= na baada ya mwezi ukapata 1.2MTatizo kubwa vyuoni hawafundishi jinsi gani ya kutafuta pesa mtaani, tunafundishwa kuajiriwa.
Nilipomaliza chuo niliingia moja kwa moja katika biashara, nilianza na biashara ya mtaji wa 150,000/= nikaizungusha ndani ya mwezi mtaji ukakuwa mpaka 1,200,000/=
Nabii hakubaliki kwao nikasemwa sana nafanya biashara ya kijinga sio level ya mtu aliyemaliza chuo. Nikauza vitu vyangu vyote nilivyonunua nikiwa chuo Tv nchi 32, kapeti, mtungi wa gas, jiko, meza, kitanda, godoro, friji, kingaamuzi n.k jumla nikapata mtaji wa 2,200,000/=
Nikaondoka nyumbani nikaenda mkoa mwingine mbali kabisa. Nikaanza biashara ya kuchukua mali mkoani kuja kuuza dar, biashara ilinilipa sana nikanunua viwanja na ujenzi ukafuata baadae nikaamua kusettle dar.
Nimeifanya biashara hiyo kwa kuagiza mali tuu mkoani inakuja nilishatengeneza system ya kupata mzigo na usafirishaji mpaka sokoni.
Nikakamilisha majukumu yangu ya kimaisha ile biashara nikaipiga chini ilikuwa inalipa ila changamoto ni nyingi sana halafu unadeal sana na vyombo vya usalama.
Nikafungua biashara nyingine nikaisimamisha vizuri nikafungua na nyingine zipo 2 maisha yanasonga since nimalize chuo sijawahi kuapply kazi wala kuajiriwa nimejenga na niendelea kujenga empire yangu.
Ushauri wangu kijana wa mtumba usikate tamaa uza vitu vyote dukani pata mtaji mdogo anza kuuzungusha kwenye biashara ndogo nunua hata toroli na carton za maji zungusha hapo kariakoo jero jero utaishi