Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 253
Dogo cha kwanza biashara lazima uwe na maleng. Pili, kama mtaji umekata tafuta kazi inayoendana na mtaji ulionao. Hapo ungekuwa upo mkoa Mwanza ningekwambia biashara moja inayolipa huku na mtaji wake ni chini ya 30k afu unafanya masaa labda 6 tu unaondoka na 10000 yako au zaidi.
Vijana kazi zipo nyingi mno ila shida tunazionea aibu. Lakini kingine kama hujawahi kufanya biashara jaribu kuulizia kwanza, wewe ulifikiri huwezi kuuza nguo huku unasoma? Mbona wengine tunafanya umachinga na chuo hatuachi? Dogo fanya maamuzi sasa
Vijana kazi zipo nyingi mno ila shida tunazionea aibu. Lakini kingine kama hujawahi kufanya biashara jaribu kuulizia kwanza, wewe ulifikiri huwezi kuuza nguo huku unasoma? Mbona wengine tunafanya umachinga na chuo hatuachi? Dogo fanya maamuzi sasa