Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,668
- Thread starter
- #81
anadomo kubwa na mapene ndo kivutio chake .diamond
Ha ha ha domo kubwa lile sema ni hela tu ndio zinawavuta watu
anadomo kubwa na mapene ndo kivutio chake .diamond
Hahahahahahahaha....
Kimekushtua nini
Asali na mayai mabichi ndio mpango mzima.
vidalili dalili tu
Jifunge sub woofe shingoni....au nenda kwa wamasai wakuchanjie damu ya simba..yaani utaunguruma kama simba..
Tafuta Sabufa na maiki,kila unapotaka kuongea nae unawasha mic tu, so simple...
Kama wewe mwanaume utakua mbaya sana maana una maneno ya sokoni
Mtakatifu Apolinary; mbona hivyo tena? maneno ya sokoni ni yepi tena we si unataka BESI?, kwani sauti yako kwa sasa ikoje?,
tafuna tangawizi 50gm kila cku kwa wiki tatu mfululizo
Ile zege pilipili kokoto.Uji wa zege ni upi huo???
Ki ukweli jaribu bangi hii kitu inabadilishaga sauti inakuwa nzito yenye mikwaruzo, Kama ni under 18
Kwanza Mtakatifu Acha Dhambi Endelea Na Sauti Yako. Unataka Uwavutie Madada Ili Iwaje??mwezako Nimekubali Sauti Yangu Japo Ni Ndogo Yako Kubwa! Pia Kuna Watu Wana Taka Kuku Angamiza, Hilo Yai Bichi Hutumiwa Na Wanakwaya Kulainisha Sauti Zao Ili Zisi Mtishe Kasisi. Watuambie Wanataka Sauti Yako Uwaje Sasa??