Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,668
Habari jf Nadhani sijakosea kuweka hii post yangu ktk jukwaa la jf doctor
Shida yangu ni kwamba ninasikia kuwa mtu mume akiwa na sauti nzito mpaka kiasi ya kutosikika vizuri huwavutia Wanawake, nami naomba nijue kama kuna vyakula nile ili sauti itoke ya bezz.
Kwenu wadau.
Shida yangu ni kwamba ninasikia kuwa mtu mume akiwa na sauti nzito mpaka kiasi ya kutosikika vizuri huwavutia Wanawake, nami naomba nijue kama kuna vyakula nile ili sauti itoke ya bezz.
Kwenu wadau.