Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,764
Hana jipya si anajiita mwenyewe sukari ya mabinti{?
Ila wewe ndio una jipya!!!!!!!
Hana jipya si anajiita mwenyewe sukari ya mabinti{?
subiri ubalehe utaipata hiyo sauti !!!!
ah basi hata ukiwa na sauti nzito kama victoria falls haitakusaidia!
Ila wewe ndio una jipya!!!!!!!
Niambie nile vitu gani!
ha ha ha!! mwambie huyo bwana mdogo. sie tuna sauti ya kawaida tuu na bado tunagegeda mtaani 🙂
ha ha ha!! mwambie huyo bwana mdogo. sie tuna sauti ya kawaida tuu na bado tunagegeda mtaani 🙂
we bana nani kakwambia sauti nzito ndo unakamatia wadada bana!
Barry White angekuwa na meli iliyojaa wanawake basi!
kama huwapati si kwa sababu ya kuwa huna sauti nene!
SWAGA zako tu hazisomeki!
Vitu vinavyofanya sauti iwe nzito ni GONGO, MNAZI NA WANZUKI. kama ukijaribu hivo hata Hasheem Thabit ataona ndani!!!!
Sina jipya sababu gani
Hujioni!!!!!!
Ebu nitoke zangu naona wanipotezea time tu mie
Kwahiyo mdogo wangu, lengo lako ni kuwavutia wadada tu basi? Tafuta hela utawavutia hata kama ni bubu
af dogo umepotea au ni mimi ndo nimepotea!
umemisika aisee na sauti yako hiyo hiyo!lol!
70/30. nimekuwa na mlolongo wa safari lately so siko available as much as I want :/ sitaki sauti nzito nisije kutisha watoto, sitoweza kuwasomea vitabu before bedtime
tafuta hiki kitu View attachment 115135this is the solution for all women related problems
Nitaxipataje hizo
Halafu hiyo sauti ikishatoka iweje