Nile vitu gani sauti yangu iwe nzito?

Nile vitu gani sauti yangu iwe nzito?

Kunywa maji ya moto, yataenda kuumua nyama ya kooni na kutoa bezi zito...undelee kunywa kila siku hadi kiwango cha bezi utakalo kifikie.
 
Kunywa maji ya moto, yataenda kuumua nyama ya kooni na kutoa bezi zito...undelee kunywa kila siku hadi kiwango cha bezi utakalo kifikie.

Ulishawai kujaribu au unaandika tu kwa nadharia Mkuu???
 
Ulishawai kujaribu au unaandika tu kwa nadharia Mkuu???

Nitaandika kitu kisichokijua....Mimi nina bezi kama la Chidbenzi yule mwanamziki wa bongo fleva kisha uzidishe mara 2. Yaani linavyonasa wasichana usiombee jamaa yangu..Wewe kapige maji ya moto utanikubali.
 
Nitaandika kitu kisichokijua....Mimi nina bezi kama la Chidbenzi yule mwanamziki wa bongo fleva kisha uzidishe mara 2. Yaani linavyonasa wasichana usiombee jamaa yangu..Wewe kapige maji ya moto utanikubali.

Nitajaribu labda nikuulize swali dogo la muhimu sana, je hayo maji ya moto ni moto kiasi gani na haiwezi kunidhuru!?!
 
ha ha ha we nani kakudanganya sikweli tafuta pesa kaka.
DOZI YA SIKU SABA:
kila siku asubuhi kula mayai mabichi mawili, kitunguu maji kimoja kikubwa kikiwa kibichi,
na asali kijiko kimoja alafu kaa masaa sita bila kufungua mdomo utakapo oonngea utaona mabadiliko.
kumbuka kuto kuswaki kabisa ndani ya siku saba,
 
ha ha ha we nani kakudanganya sikweli tafuta pesa kaka.
DOZI YA SIKU SABA:
kila siku asubuhi kula mayai mabichi mawili, kitunguu maji kimoja kikubwa kikiwa kibichi,
na asali kijiko kimoja alafu kaa masaa sita bila kufungua mdomo utakapo oonngea utaona mabadiliko.
kumbuka kuto kuswaki kabisa ndani ya siku saba,

We nawe miss chagga gani?! umevunja bendi duh!!!"
 
mh sidhani kama ni kweli labda kwa wanaume tu, kama ni ivyo me nahisi sauti yangu sasa ingekuwa haitoki, kwa sababu maji yangu ya kunywa ni ya moto kila siku na ninakunywa zaidi ya vikombe vitano kwa siku.
 
unataka uwe unaunguruma ndani kama simba?
 
miss ni mwanamke ambaya hajaolewa nadhani umeelewa....

kama unataka kupona fanya ivyo. unaonekana ujiamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom