hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
dah! Bangi za kuvuta umejificha chooni mbaya kumbe
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ah haah ahaahahhahaha
Duuuuuuuuuuuuhhhhh.....
dah! Bangi za kuvuta umejificha chooni mbaya kumbe
Kunywa vikombe viwili vya maji ya betri kutwa mara 3. Alafu urudi kushuhudia hapa jf.
Kunywa vikombe viwili vya maji ya betri kutwa mara 3. Alafu urudi kushuhudia hapa jf.
heb 2pia hapa sauti yako ya sasa inaskikaje ili watu wakutibu according 2 tatizo.
Hahaha!! huu ushauri wa madokta noma! hahaha! eti unaambhwa uvute bangi!
Habari jf Nadhani sijakosea kuweka hii post yangu ktk jukwaa la jf doctor
Shida yangu ni kwamba ninasikia kuwa mtu mume akiwa na sauti nzito mpaka kiasi ya kutosikika vizuri huwavutia Wanawake, nami naomba nijue kama kuna vyakula nile ili sauti itoke ya bezz.
Kwenu wadau.
Hahahaaa!Kula chokaa
Wewe unatumia njia gani kuwapata mkuu
Mmmmmmh!!.makubwa..hihi
Hakuna kitu kibaya kama kuvuta bangi ukiwa uchi wa mnyama