Niko serious

Niko serious

Unataka mwenye miaka 19? Una umri gani? Manake natafuta mtoto wa kuadopt.
 
hahahahaha kashone thuti za kithatha ili niwahi kujipatia wifi khaa hizo kaunda zako akutake nani...........labda kama wallet inatuna hahahahaha

Ntazbadl. Halafu ili wallet itune itabidi niuze kale kabaiskel ka urithi.
 
Ntazbadl. Halafu ili wallet itune itabidi niuze kale kabaiskel ka urithi.

hutapata pesa nyingi,kabaiskeli kako kameshapitwa na wakati teh teh teh teh fanya biashara nikukopeshe mtaji.
 
watakuja best
subiri kidogo!!
ningekua wa kike
ningeku pm mweeeh!!
 
Hi mambo zenu kwa jina naitwa boyvan willium nipo pande za Arusha natafuta mchumba:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2: awe mnene kiasi umri kuanzia miaka 19 niko sirious na kwa aliyoko sirious plz tuwasiliane kupitia my email boyvan11@gmail.com mda wowote najibu plz my # 0652048808
subiria watajitokeza masaa machache.
 
kaaazi kweli kweli...wanawake wote hivi mtu unashindwa kufunguka mpaka unakuja Jf kutuma maombi.
Vumilia tu utapata.
 
Back
Top Bottom