Nikki Mbishi: Maneno ya mashabiki

Nikki Mbishi: Maneno ya mashabiki

Alijitoa mwenyewe kwenye group, sasa ukijitoa mwenyewe yanini ufuatilie tena wanaokuongelea?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujitoa kwake hakuwapi waliobaki haki ya kumdiscuss.
Mtu amejitoa kwenye group lenu, ina maana hana "common interests" na mliopo kwenye group, badala ya kufanya kilichowafanya mkutane kwenye group lakibi bado mnaendelea kumdiscuss aliyejitoa kwenye group lenu, hiyo ni "backstabbing" mkongwe. Kwa mtazamo wangu hao waliobaki kwenye group wana umama uliopitiliza.
 
Yaani mkuda kweli kweli Mimi nilishangaa sana ana tabia za kikekike

Wana wakikuchana unatulia boli huitaji kutafuta huruma kwa jamii huo ndio usela

Ila ile staili yake ya kishambenga na kisela mavi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wana mnamdiscuss mtu kwenye group? Wana mnamteta mtu?
Kama huwa unafanya hii kitu mzee, acha.
 
P Mawenge uwezo bado mdogo Nikki mbishi ndo kamfanya aende south Africa mwaka Jana....sasa nashangaa anapomuweka kwenye kaburi la Futi sita....Unju nakushauri huyu dogo mpatie diss track moja akae kimya.
 
P Mawenge uwezo bado mdogo Nikki mbishi ndo kamfanya aende south Africa mwaka Jana....sasa nashangaa anapomuweka kwenye kaburi la Futi sita....Unju nakushauri huyu dogo mpatie diss track moja akae kimya.
hata kama ni kweli kuwa Nikki alifanya p aende SA mwaka Jana isiwe sababu ya p kukaa kimya pale anapochokozwa na Nikki kimakusudi,huwezi ukanisaidia halaf eti niendelee kukurespect wakati ww unanidisrespect na unadisgrade my dignity in public,diss ya p ni reply kwa dharau za Nikki kwa p,hivyo kivyovyote p was and is right coz yy kajibu,hajaanzisha mashambulizi,,,,,,, Nikki asithubutu kuujibu huu mkwaju,futi sita ni balaa kwake jomba,et kagombana na kila mtu kwny tasnia,malalamiko kibao ka mtoto asiye na mama,,,,,,,,,,, Casper siyo easy ka pindabway (mshikaji wa Nikki)
 
hata kama ni kweli kuwa Nikki alifanya p aende SA mwaka Jana isiwe sababu ya p kukaa kimya pale anapochokozwa na Nikki kimakusudi,huwezi ukanisaidia halaf eti niendelee kukurespect wakati ww unanidisrespect na unadisgrade my dignity in public,diss ya p ni reply kwa dharau za Nikki kwa p,hivyo kivyovyote p was and is right coz yy kajibu,hajaanzisha mashambulizi,,,,,,, Nikki asithubutu kuujibu huu mkwaju,futi sita ni balaa kwake jomba,et kagombana na kila mtu kwny tasnia,malalamiko kibao ka mtoto asiye na mama,,,,,,,,,,, Casper siyo easy ka pindabway (mshikaji wa Nikki)


Ahaaa / Nikki ajamchokoza mkuu isipokuwa P, kaamua tu kumvua nguo Unju.
 
Sikunyingi nimeacha kufatilia Hiphop ya chimbo (underground), zamani ngoma za Tamaduni wazee wa Kilingeni zilikuwa hazinipiti, yaani gheto ni Hiphop kwa kwenda front tena zile zenyewe sio hizi Mainstream, naona uzee unagonga hodi, sikuhizi eti namshabikia Diamond na wabana pua wenzake kweli maisha yanabadilika, vipi Nash MC uchebe anaendeleaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nash Mc bado kwenye kiwango kizur anakimbza na ngoma yak- naenda kama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujitoa kwake hakuwapi waliobaki haki ya kumdiscuss.
Mtu amejitoa kwenye group lenu, ina maana hana "common interests" na mliopo kwenye group, badala ya kufanya kilichowafanya mkutane kwenye group lakibi bado mnaendelea kumdiscuss aliyejitoa kwenye group lenu, hiyo ni "backstabbing" mkongwe. Kwa mtazamo wangu hao waliobaki kwenye group wana umama uliopitiliza.
Mi ningekuwa ndo Nikki Mbishi baada ya kutoka group nisingekuwa na muda wa kufatilia wanaonidiscuss (huo ndo uanaume, na hata kama nikipewa taarifa za wanaonidiscuss either ningewapigia simu kuwachana au ningewapotezea, kitendo cha kuweka screenshot mtandaoni ndo ukuda huo. Ndio wamefanya kosa kumdiscuss, lakini kitendo cha yeye kuweka screenshot mtandaoni akiexpose na namba zao ni too much

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ningekuwa ndo Nikki Mbishi baada ya kutoka group nisingekuwa na muda wa kufatilia wanaonidiscuss (huo ndo uanaume, na hata kama nikipewa taarifa za wanaonidiscuss either ningewapigia simu kuwachana au ningewapotezea, kitendo cha kuweka screenshot mtandaoni ndo ukuda huo. Ndio wamefanya kosa kumdiscuss, lakini kitendo cha yeye kuweka screenshot mtandaoni akiexpose na namba zao ni too much

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ya msingi ni kuwa wote wamezingua. Hao wa kwenye group wamefanya "umama", Nikki Mbishi amefanya "utoto".
 
Hao wanaomdiscuss kijana mwenzao kwenye group ndio wenye mambo ya kiume boss?

Huyu nikii wa sasa hana tofaut na Juma lokole. Kutwa kuchambana insta. Namshauri asijiite tena mbishi.

Huu muda anaopoteza kupost sjui convo za wanaomdiss ni kheri angejifungia studio akafanya mixtape yenye diss track akatengeneza pesaa.. hiki ndio kitu mashabiki tunataka.. sio u-toa- mbwer anaoendelea kufanya..
 
Huyu nikii wa sasa hana tofaut na Juma lokole. Kutwa kuchambana insta. Namshauri asijiite tena mbishi.

Huu muda anaopoteza kupost sjui convo za wanaomdiss ni kheri angejifungia studio akafanya mixtape yenye diss track akatengeneza pesaa.. hiki ndio kitu mashabiki tunataka.. sio u-toa- mbwer anaoendelea kufanya..
Huyu Nikki Mbishi ni "mtu" kama "watu" wengine tu mzee wa kazi, usisahau jambo hili. Kuwa msanii hakumfanyi jamaa kuwa Roboti.
Kila mtu huwa anapata muda wa kufanya "upuuzi" mzee, even Nikki Mbishi. Hizo "mixtapes" atatoa tu, wala usijali.

SITETEI anayoyafanya, lakini sina haki ya kumnyooshea kidole pia.
 
Huyu Nikki Mbishi ni "mtu" kama "watu" wengine tu mzee wa kazi, usisahau jambo hili. Kuwa msanii hakumfanyi jamaa kuwa Roboti.
Kila mtu huwa anapata muda wa kufanya "upuuzi" mzee, even Nikki Mbishi. Hizo "mixtapes" atatoa tu, wala usijali.

SITETEI anayoyafanya, lakini sina haki ya kumnyooshea kidole pia.
Siku zote yuko hivyo, nakumbuka hata enzi hizo namfatilia Facebook alikuwa mtu wa shit sana, anatukanana na mashabiki,..hana ustaarabu, though this time naona amekuwa too much

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umesema kila kitu

Ni sawa na tuwe sehemu pamoja watu kadhaa, halafu ukitoka tunaanza kukusema

Huo ni umama kabisa, tabia za kike
Kujitoa kwake hakuwapi waliobaki haki ya kumdiscuss.
Mtu amejitoa kwenye group lenu, ina maana hana "common interests" na mliopo kwenye group, badala ya kufanya kilichowafanya mkutane kwenye group lakibi bado mnaendelea kumdiscuss aliyejitoa kwenye group lenu, hiyo ni "backstabbing" mkongwe. Kwa mtazamo wangu hao waliobaki kwenye group wana umama uliopitiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom