Nikki Mbishi: Maneno ya mashabiki

Jamaa anatabia za kuvimba sana. Anajikutaga mjuaji sana. Babu tale alimshauri kistaarabu kabisa, alimwambia asifanye ngoma ngumu sana. Afanye zile km playboi. Matokeo yake akamtungia wimbo wa kumchana ' Babu talent '

Mchomv nae alisema jamaa ni mkali sema ilo jina la mbishi ndio jamaa anajikuta mbishi kweli, matokro yake alimchana pia kwny interview. Iskilize akihojiwa na lily ommy enz hzo wapo magic

Kifupi jamaa anatabia za kishoga sana
Na Playboy ndo wimbo wake pekee uliotembea vizuri Mainstream

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbishi ni mkali sana, hata mawenge haingii sababu ngoma ya Nicki alimchana chalii kamstari kamoja tuu ila jamaa karecord wimbo mzima kumzungumzia Mbishi. Na mbishi simshauri kumjibu jamaa itakuwa kumpa jamaa promo zaidi. Inachotakiwa Mbishi atoe pini juu ya pini kalii halafu mkali ataonekana tuu sio lazima mpaka diss track ndio aonekane mkali.
 
Back
Top Bottom