🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hip hop umekinaisikuhizi eti namshabikia Diamond na wabana pua
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hip hop umekinaisikuhizi eti namshabikia Diamond na wabana pua
Swali zuri akikujibu nitagHao wanaomdiscuss kijana mwenzao kwenye group ndio wenye mambo ya kiume boss?
Nikki now dayz ni wack mc.Wapenzi wa Hiphop tulitegemea baada ya diss track ya P Mawenge na Unju angekuja na diss track ya kumjibu ila imekuwa tofauti, naona Unju kaachia track yenye maudhui mengine. Sina hakika kama hii ngoma ni mpya, ila kwakuwa nimeiona dakika chache zilizopita kupitia U-Tube naamini ni ngoma mpya, kifupi anazungumzia the way mashabiki huwa wanamzungumzia/ mtazamo wa mashabiki kumuhusu yeye, kiukweli kapita mulemule ambapo mimi huwa namfikiria. Huyu mwana anajua sana kuchana, kwenye top 20 yangu ya G.O.A.Ts wa Hiphop bongo hawezi kukosa, ila anatabia za kikuda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu unaosapoti wewe Mara nyingi Kuna gundu.
Mimi Nasapot Kila Msanii hapa Tanzania.Sehemu unaosapoti wewe Mara nyingi Kuna gundu.
Yaani mkuda kweli kweli Mimi nilishangaa sana ana tabia za kikekikeMkuda sana, eti anarusha screenshot za group wanavyomsema wasanii wenzake, ana mambo ya kidada huyu jamaa ana usnitch fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Liflow lake LA hii miaka miwili limekuwa laajabuajabu saaana me napenda Niki wa #undisputed #sauti yajogoo #nyakati playboy nk ila sahv hata vina upangaj wake unayumbayumba labda kama nmimi ndo siposawaNini mnataka mazee, mafans hawakuelewi/
zamani walijibu rhymes, Leo imebaki aibu/........................
Hizi ni nyakati za mashaka jiandae kuvuta shati...
Baba Malcom ukiondoa mambo yake ya kumdiss kila mtu ila ni mbaya sana
Yaani mkuda kweli kweli Mimi nilishangaa sana ana tabia za kikekike
Wana wakikuchana unatulia boli huitaji kutafuta huruma kwa jamii huo ndio usela
Ila ile staili yake ya kishambenga na kisela mavi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ieleweke kua mawenge na mbishi wana battle sio bifu......soon tutegemee kuwasikia kwenye ngoma yao mpya ya pamoja
Alijitoa mwenyewe kwenye group, sasa ukijitoa mwenyewe yanini ufuatilie tena wanaokuongelea?Hao wanaomdiscuss kijana mwenzao kwenye group ndio wenye mambo ya kiume boss?
Lazima watoe ngoma kali, Nash MC nachomkubaligi misimamo, nimejaribu kupita kwenye IG yake Nash ni yuleyule nnayemjua mimi, haendeshwi na trend. Jamaa kawatengeneza mashabiki ambao wananunua kazi zake na anaishi kupitia muziki, sio mashabiki mipasho wa kina Nikki Mbishi wanaishia kumsifia tuRudi kundini mkuu, huku hip hop imenoga ma underground wanatoa ngoma kali kinyama kuliko hawa mainstream
Maalim nash katoa ngoma na singasinga ila bado sijaipata ila wametisha mno niliona kwenye intro alipost IG
Nahisi uzee unaninyemelea, yaani nilikuwa napenda Hiphop huniambii kitu, hawa kina Diamond nilikuwa nawaona machoko tuHip hop umekinai
Wapenzi wa Hiphop tulitegemea baada ya diss track ya P Mawenge na Unju angekuja na diss track ya kumjibu ila imekuwa tofauti, naona Unju kaachia track yenye maudhui mengine. Sina hakika kama hii ngoma ni mpya, ila kwakuwa nimeiona dakika chache zilizopita kupitia U-Tube naamini ni ngoma mpya, kifupi anazungumzia the way mashabiki huwa wanamzungumzia/ mtazamo wa mashabiki kumuhusu yeye, kiukweli kapita mulemule ambapo mimi huwa namfikiria. Huyu mwana anajua sana kuchana, kwenye top 20 yangu ya G.O.A.Ts wa Hiphop bongo hawezi kukosa, ila anatabia za kikuda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikki anachonikera bei za album zake ni kubwa yani anajidai kwamba mziki wake ni wathaman sana yani anahisi wenzao wanauzia buguruni halafu yeye mliman cityLazima watoe ngoma kali, Nash MC nachomkubaligi misimamo, nimejaribu kupita kwenye IG yake Nash ni yuleyule nnayemjua mimi, haendeshwi na trend. Jamaa kawatengeneza mashabiki ambao wananunua kazi zake na anaishi kupitia muziki, sio mashabiki mipasho wa kina Nikki Mbishi wanaishia kumsifia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kasoro simba