Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
nikki mbisi apigwa futi 6 ardhini hana uajanja wa kujibu ile diss track
Ikifuatiwa na Ney wa mitego ya nikki wa pili.Diss track bora bongo kwa muda wote ni ile ya Young killer - true boya kwa nay wa mitego.
Wapenzi wa Hiphop tulitegemea baada ya diss track ya P Mawenge na Unju angekuja na diss track ya kumjibu ila imekuwa tofauti, naona Unju kaachia track yenye maudhui mengine. Sina hakika kama hii ngoma ni mpya, ila kwakuwa nimeiona dakika chache zilizopita kupitia U-Tube naamini ni ngoma mpya, kifupi anazungumzia the way mashabiki huwa wanamzungumzia/ mtazamo wa mashabiki kumuhusu yeye, kiukweli kapita mulemule ambapo mimi huwa namfikiria. Huyu mwana anajua sana kuchana, kwenye top 20 yangu ya G.O.A.Ts wa Hiphop bongo hawezi kukosa, ila anatabia za kikuda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana... Hapa huyo P wenu kaumbuka.Mi nilishasema humu, ule mkwaju wa P umemuathiri kisaikojia, hawezi kutuliza kichwa kujibu anaogopa kutoa kichekesho. Yaani mpaka tunaingia hii weekend, P the MC 4 - Nikki 0.
So kuna watu wana left groups lakini bado wanakuwa na access..!?? Au sijaelewa.Mi ningekuwa ndo Nikki Mbishi baada ya kutoka group nisingekuwa na muda wa kufatilia wanaonidiscuss (huo ndo uanaume, na hata kama nikipewa taarifa za wanaonidiscuss either ningewapigia simu kuwachana au ningewapotezea, kitendo cha kuweka screenshot mtandaoni ndo ukuda huo. Ndio wamefanya kosa kumdiscuss, lakini kitendo cha yeye kuweka screenshot mtandaoni akiexpose na namba zao ni too much
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu sangatiti fuatilia mambo,p akiwa SA alipoga picha na Casper nyovest na kuipost,niki akaiscreenshot na kutupa kijembe kwamba badala ya kuomba collabo unaomba kupiga picha na Casper??? ndpo p akaamua kumvua nguo Nikki,Casper siyo easy kama pindabway (mshikaji wa Nikki),p kapigilia kwelikweliAhaaa / Nikki ajamchokoza mkuu isipokuwa P, kaamua tu kumvua nguo Unju.
Kwahiyo hapo ndo sababu ya kuja na diss ..mkuu sangatiti fuatilia mambo,p akiwa SA alipoga picha na Casper nyovest na kuipost,niki akaiscreenshot na kutupa kijembe kwamba badala ya kuomba collabo unaomba kupiga picha na Casper??? ndpo p akaamua kumvua nguo Nikki,Casper siyo easy kama pindabway (mshikaji wa Nikki),p kapigilia kwelikweli
Fwatilia vizuri aisee usirukie mambo na kutaka kupotosha mambo.Wapenzi wa Hiphop tulitegemea baada ya diss track ya P Mawenge na Unju angekuja na diss track ya kumjibu ila imekuwa tofauti, naona Unju kaachia track yenye maudhui mengine. Sina hakika kama hii ngoma ni mpya, ila kwakuwa nimeiona dakika chache zilizopita kupitia U-Tube naamini ni ngoma mpya, kifupi anazungumzia the way mashabiki huwa wanamzungumzia/ mtazamo wa mashabiki kumuhusu yeye, kiukweli kapita mulemule ambapo mimi huwa namfikiria. Huyu mwana anajua sana kuchana, kwenye top 20 yangu ya G.O.A.Ts wa Hiphop bongo hawezi kukosa, ila anatabia za kikuda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa kuna 'wambea' wapo grupuni wanampenyezea 'ubuyu'So kuna watu wana left groups lakini bado wanakuwa na access..!?? Au sijaelewa.
Hujasoma vizuri maelezo, niliandika 'sina hakika kama ni wimbo mpya', nilikuwa sijawahi kuusikia, kwavile niliona jana ndo kauweka U-Tube nilihisi unaweza kuwa wimbo mpya ila sikuwa na uhakikaFwatilia vizuri aisee usirukie mambo na kutaka kupotosha mambo.
Hii sio diss ya Nikki mbishi kwa P the mc bali hii ni ngoma yake ya muda tu kabla hata yeye kumchorea line moja P kwenye ngoma yake ya 'straight outa gamboshi' baada ya P kupiga picha na Casper alipoenda south kwaajili ya castle lite unlock challenge ndipo P akamtolea diss track.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote yuko hivyo, nakumbuka hata enzi hizo namfatilia Facebook alikuwa mtu wa shit sana, anatukanana na mashabiki,..hana ustaarabu, though this time naona amekuwa too much
Sent using Jamii Forums mobile app
L
Liflow lake LA hii miaka miwili limekuwa laajabuajabu saaana me napenda Niki wa #undisputed #sauti yajogoo #nyakati playboy nk ila sahv hata vina upangaj wake unayumbayumba labda kama nmimi ndo siposawa
Diss track bora bongo kwa muda wote ni ile ya Young killer - true boya kwa nay wa mitego.
Chini ya hayo maandishi yako hukuandika kua "unaamini ndio ngoma yake mpya"?Hujasoma vizuri maelezo, niliandika 'sina hakika kama ni wimbo mpya', nilikuwa sijawahi kuusikia, kwavile niliona jana ndo kauweka U-Tube nilihisi unaweza kuwa wimbo mpya ila sikuwa na uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Msasani kulikua kinawaka nami sijafatilia since 2014Rudi kundini mkuu, huku hip hop imenoga ma underground wanatoa ngoma kali kinyama kuliko hawa mainstream
Maalim nash katoa ngoma na singasinga ila bado sijaipata ila wametisha mno niliona kwenye intro alipost IG