Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshima

Mkuu CONTROLA ebu tupeane mbinu zakuficha hizo nyaya hasa kwa Tv iliyotundikwa ukutani
Nenda Hardware nunua Cable Trunking,we wambie wakupe trunking

Zipo aina nyingi kwa size kulingana na wingi/unene wa wire unaopitisha ndani

utachagua utakayoipenda wewe kulingana na ukuta/rangi/wallpaper yako

kisha utaenda hom kuficha nyaya zote ndani ya hiyo trunker yako ulonunua.

b3nysxiu0vd__46167.1585224778.jpg
 
Tv me kukaa ukutani mimi hapana. Napendaga iwe chini chini.
Kuna TV kuiweka ukutani ni haki yake maana stand zake ni mbaya

stand ya tv imekaa kama masikio ya popo,ila kuna ukiwa na hizi tv

za Sony Bravia ambazo stand za TV tu zimekaa kama urembo nauhakika

huwezi kupata ujasiri wa kutoa stand ya sony eti uweke tv ukutani otherwise

mtu awe anaogopa tu watoto,ila kwa wale risk taker tunaweka chini hvyo hvyo.
 
Kuna TV kuiweka ukutani ni haki yake maana stand zake ni mbaya

stand ya tv imekaa kama masikio ya popo,ila kuna ukiwa na hizi tv

za Sony Bravia ambazo stand za TV tu zimekaa kama urembo nauhakika

huwezi kupata ujasiri wa kutoa stand ya sony eti uweke tv ukutani otherwise

mtu awe anaogopa tu watoto,ila kwa wale risk taker tunaweka chini hvyo hvyo.
Yaani mimi tv zile zenye makalio huku na huku sizipendi balaa. Halafu siku hizi nashangaa ndio wengi wanazinunua.
Tv nzuri iwe na stand katikati basi.
 
Yaani mimi tv zile zenye makalio huku na huku sizipendi balaa. Halafu siku hizi nashangaa ndio wengi wanazinunua.
Tv nzuri iwe na stand katikati basi.
mimi tv ikishakua na stand huku na huku sinunui,labda

niwe nachukua kwa ajili ya kupeleka ofisini ila sio home.
 
Niliingia k.koo majuzi kati hapa kwenye duka la Haya makitu akaja m.tandale

anaulizia SEA PIANO ile yenye disco light,hilo duka wakawa hawana ila wakawa

wanamshauri achukue sabufa nyingine,yeye akawambia sitaki zaidi ya sea piano

yenye disco lights,mimi nikawa najiuliza hii sea piano yenye disco light ipoje na maajabu

yake ni yapi kwann ing'ang'aniwe hivyo? basi jamaa mmoja akamwambia yule mteja asubiri

akae chini akamletee store nyingine,Jamaa akaenda kama dk 5 akarudi na sea piano lenye disco light

Jamaa (mteja) akasema YEEEEES huyo ndio mnyama sasa,naomba nitestie kbsa,chukua na hela yako

seapiano likachomekwa likaekwa flash,Mziki ukaekwa Aseee mteja mwenye bufa lake nikamuona

anatikisa kichwa kwamba mziki umemgusa hadi kunako,ila huwezi amini Nilishkwa hasira nikatamani

nimzabue yule jamaa kofi nimuulizee,huu n mziki unanunua au unanunua tambara?!

Jamaa alipewa bufa lake akaondoka anachekelea ndio nmesoma comment yako nikamkumbuka jamaa.
kuna mwamba yeye humwambii kitu na simu za infinix.

yaani juzi kanizoa tumeenda kkoo na 340k,namwambia tucheki mashine nyingine ya maana jama haelewi kitu,nikazira sasa hata akiniuliza maswali ya kitaalamu ya simu ,namjibu lipia tusepe.

yaani kuna watu ni wajinga mpaka kichefuchefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda Hardware nunua Cable Trunking,we wambie wakupe trunking

Zipo aina nyingi kwa size kulingana na wingi/unene wa wire unaopitisha ndani

utachagua utakayoipenda wewe kulingana na ukuta/rangi/wallpaper yako

kisha utaenda hom kuficha nyaya zote ndani ya hiyo trunker yako ulonunua.
Shukrani mkuu natumai umesaidia wengi
 
Dah...mie hapo kwenye watts ndiyo huwa pananichanganya sana...kwanini wasiwe wanafanya rating ya vyombo vyenye mifumo ya sauti kwa dB au ohms tu?

Sent using Beretta ARX 160
Mkuu, ni lugha tu za kibiashara hizo. Hujawahi ona karedio ka kichina kameandikwa eti 5000watts pmpo wakati kenyewe kiuhalisia ukihitaji kupima uwezo wake unaweza ambulia kama watts 10 tu. Ni utapeli mtupu.
Kwa wale wanaopendelea kuangalia ukubwa wa namba za watts hua lazima wapigwe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imagine having a sound ambayo unaeza i modify muda wowote unaeza itune utakavyo...

Kitu sipend kwenye mziki ulio complete ni kwamba kuna baadh ya vitu huezi fanya afu kumfanya mtu aridhike ni ngumu sana ...kama kwenye market naona some hi-fi zenye bufa ake system ya watts 750 LG naona ka spika za saut zina watts za kutosha but wamekubana kwenye bass kuwa na spika midrange inch 6.5 afu bass inch saba saba hata watts hasijatofautiana sana

Ila huu upande mwngine kuna mambo unaeza fanya eg kuamua kila spika icheze frequency zipi yan i base pale ..mfano hizi sub zetu za kichina unakuta au nyingi mpaka theatre kale ka sub unakuta kana system kanacheza as low as 40hz or 20hz to 250hz where milio yote mizito inasikika pale na tunajua gitaa pia linaeza piga as low as 50hz means milio pia ya gitaa itasikika kwenye spika la bass manake kuna mingurumo ya kila saa isio na tija kwenye spika la bass....milio ya gitaa haisaund vizuri sana

Ila huku pengine naeza set sub icheze dundo zito tu eg 20hz to 50hz tu where above hapo zitasikika kwenye spika za midrange ambazo zitabeba saut nene nene eg milio ya gitaa ngoma ambazo si nzito za kawaida

Ukiset hivo ukasikiliza nyimbo ya malaika band Ile umeondokaa huku nyuma hali yangu sio shwari uliniahd hatochel3wa atarudi nimesahau jina lake ..ila ile nyimbo jinsi ilivopigwa na kila kitu ukisikiliza kwenye mziki wa kawaida sub litakuwa linanguruma kila saa ila kwa setting hiyo unaeza kaa sekunde 50 sub imenyamaza unaeza jua waya umekatika kumbe muda huo zinapokezana midrange na full range speakers kutoa sauti za hiyo nyimbo ila inafika a point where mid haitoweza play frequency ndogo vile basi ndo hapo sub kubwa la nch 12 peak ya 1400w or 2000w linapokea linanguruma kama simba deep bass had unaisikia kwenye mishipa ya fahamu daaa asiwaambie mtu

Setting kama hiyo hakuna nyimbo utaichukia kila ukitaka futa afu usikilize hapo unaona aaa hapana acha iwepo....

Faida ingne unaeza nunua chombo kimoja kimoja pia unaeza fanya upgrade kirahisi sana leo unaeza kuja kwangu ukakuta nina nina mziki wa watts 800 kesho ukaja ukakuta nimeongeza sub moja na full range mbil tayar system imeongezeka...

Mfano complete system ya mutek iwe milion mfano huwez nunua labda spika mbil za saut na bass moja afu vingne siku ingne NO lazima ununue yote

Kingne ni kwamba kila kampuni iko fresh kwenye upande flan mfano me napenda sony component spika najua wanazo za sauti nzuri sana but kwenye bass wako nyuma sana hvo hapo ndo natafuta kampuni ingine mfano jbl,JL audio, pioneer, polks ama alpine wako njema sana

Nakadhalika
Hebu niambie hyu mnyama, ukifanikiwa kuwa nae itakuwaje, halafu ulisema sony wako nyuma sama upande bass, vip kuhusu sony xplod 1800watts peak power??

Alpine type R zipo bongo??

Hyo pioneer ya 600rms kibongo bongo zipo??(full boxed)

Zipi amplifier nzuri kati ya

Stereo na

Monoblock??

In terms of kila kitu.

Capture%2B_2020-06-07-01-41-31.jpg
Capture%2B_2020-06-07-01-42-22.jpg
 
Ulimwengu huu mkuu utaplay hio cd?
Ni kweli mkuu ninaweza nisitumie sana lakini huwa nina tabia ya ku download movie huko yify za HD then kwenye flash na ku play kwenye hiyo dvd.Vipi ikiwa kupitia flash haita zalisha hizo kelele zinasosemwa kwenye ŕeviews
 
Ni kweli mkuu ninaweza nisitumie sana lakini huwa nina tabia ya ku download movie huko yify za HD then kwenye flash na ku play kwenye hiyo dvd.Vipi ikiwa kupitia flash haita zalisha hizo kelele zinasosemwa kwenye ŕeviews
Hapana hutasikia kelele, na ukiwa na mziki kama huo sikushauri kudownload Yify tafuta movies zinazoendana Na sorround yako. Mfano kama ni sabufa 1 na spika 5 tafuta zinazoishiwa na 5.1
 
Hapana hutasikia kelele, na ukiwa na mziki kama huo sikushauri kudownload Yify tafuta movies zinazoendana Na sorround yako. Mfano kama ni sabufa 1 na spika 5 tafuta zinazoishiwa na 5.1
Tofauti kati ya hii ya DZ650 Na DZ350 ni ipi mkuu ukiachana na urefu wa spika?

Na vipi haya ma Sea piano unayazungumziaje!
 
Tofauti kati ya hii ya DZ650 Na DZ350 ni ipi mkuu ukiachana na urefu wa spika?

Na vipi haya ma Sea piano unayazungumziaje!
Mkuu nimeaziangalia online kama zipo sawa, nikiwa kwenye pc naweza ziangalia zaidi side to side.

Kuhusu hawa kina Sea piano ngoja wajuzi waje, mimi sio mambo yangu haya ya Audio.

Hivi mitaani hakuna Home theatre za philips?
 
Mkuu kwenye Presets za EQ weka "Multi" hii itaongeza clarity ya speaker na zote zitaongea.
Ukitaka enhanced bass weka "Standard"

Kwenye Presets za Sorround weka "Bongo" this is the best preset so far. Ina blend vizuri na Presets zote za Sorround.

Kisha ingia kwenye System setup specifically kwenye speaker setup.

Pandisha dB count toka 0 mpaka +6dB kwa kila speaker za front, rear, centre na Subwoofer. Utapata sound bora zaidi. Kwa wale wanaosema System haina sauti ya kutosha hapa ndipo mtego ulipo.

Unaweza pia kuset distance ya speaker toka zilipo mpaka kwenye makochi unapokaa ili ziweze ku calibrate sauti kulingana na umbali wa sikio lako.

Ukimaliza hayo njoo unishukuru.
Sound enginier
 
Habarini WanaJamvi!
Naomba Kueleweshwa Mziki mzuri wenye Mkito wa Maana hususani kwenye Home Theater Sony na Wengineo. Ushauri wenu Unahusika, tafadhali.

Karibuni Wadau.
 
Back
Top Bottom