Se-ronga
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 650
- 908
Bajeti yangu ni Tzs.1.2 mil Mkuu,,sidhani kama itatosha kwa hichi kinuChukua hii JBL 5.1
Bajeti yangu ni Tzs.1.2 mil Mkuu,,sidhani kama itatosha kwa hichi kinuChukua hii JBL 5.1
Dundo la Onkyo, hilo weka mbali na watoto braza. Mi siongei sana ila wanaojua sound watakuelekeza zaidi.
Mimi pia nimejaribu kuwa search lakini siwaoni,au wamebadilisha jina?Hawa jamaa siwaoni tena mtandaoni walikua n vitu vya hatarii sana
Wakuu nina plan ya kununua PARTY BOX kwa ajili ya kuwa nafanyia outdoors functions kwenye eneo la wazi linaloweza kubeba watu 80-100
Kwa research ndogp nliyofanya brand ninazozipa kipaumbele ni JBL,SONY NA PANASONIC
Je kwa bajeti ya Tzs.1,200,000/ ni party box ipi inaweza nifaa kati ya hizo brand nilizotaja.Na kama kuna mbadala wa aina nyingine ya muziki ambao utanifaa tofauti na party box mnaweza nipa mawazo
Cc Extrovert na wadau wengine ushauri wenu tafadhali.
mhhh wewe.Ukubwa wa sound angalia tu watt ngapi?
Watt 600, 1000, na kuendelea huko ndio sounds nzuri .
Ukubwa wa mziki tunaupima hapo tu , wewe nunua brand yoyote hapo ila mimi nitakuuliza watt ngapi? Nikikuta watt 300 ,nitakudharau hapo nitaona haikiti sana hiyo.
Eh naona wamefunga page sijui!Hawa jamaa siwaoni tena mtandaoni walikua n vitu vya hatarii sana