Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,687
- 176,246
Mmh Panasonic ipi hio?Panasonic yupo vizur kuliko ata sony kwenye home theater complete system
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh Panasonic ipi hio?Panasonic yupo vizur kuliko ata sony kwenye home theater complete system
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia instagram, watafute hawa jamaa : electrohub _Kenya, vitu walivyo navyo ni kwa wanaojua na kupenda muziki mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh Panasonic ipi hio?
Mpaka nikutane nayo live niiskiize
sema zinaumiza kichwa kama unatumia earphone,sauti inahama maskio kushoto kulia.Kuna hizi tracks za 8D zinatrend sana YouTube. Nimeskiliza 8D track moja ya Pentatonix, asee nyumba inaifeel kma studio huu mkito na effects si mchezo. Hizi Sony DZ950 ni very capable systems. Much respect!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida na hasara kuweka mezani TV.TV yangu haikumaliza mwezi Dogo alipiga mpira mzigo ukashuka chini biashara iliishia hapoIwe iwavyo huu ni ushamba!! Hii style ya kutundika tv ukutani ni special kwa public places... una meza nzuri ya tv isimamishe kwa stand yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Machungu hayo yalinikuta.Dogo alipiga mpira mzigo ukashuka chini nilihangaika kutengeneza nikaona ujinga nikaacha.Nilivyonunua ya pili nimeining'iza juu,wacha niitwe mshamba hela inauma.Madogo wakikuwa nitaishushaKuna watoto, ilikuwa mezani ikapigwa rimoti za kutosha sahizi ina patch moja kubwa ya wino na mstari mwembamba. Nikaona kabla haijamalizwa aheri niitundike tu.
Duuuuuuuuh aiseeeeeeee pesa ya Usafiri hiyoDaah sana mkuu ila vitu vyao ni balaa, nilisikiliza earphone yao flani yaani acha kabisa!! Ukija kwenye bei earphone cheaper unaeza ambiwa 400$
TV na Music systems zao hazigusiki kwa masikini. Niliona home theater yao moja ni approximately 60M TZS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida na hasara kuweka mezani TV.TV yangu haikumaliza mwezi Dogo alipiga mpira mzigo ukashuka chini biashara iliishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliingia k.koo majuzi kati hapa kwenye duka la Haya makitu akaja m.tandaleJamaa wana vinu vile ambavyo waswahili hatujavizoea..
Mswahili akiweka sea piano lake geto anakuambia hakuna kinu cha kutoa mziki kama hiki..
Extrovert TV yake itakaa eneo lile lile miaka na miaka na wewe Lucas Mobutumkuu, hata mimi nina Tv size ya mkuu Extrovert nataka nitundike ukutani, its all a matter of choice wala sio ushamba, mimi naona ili flat inoge bas iwe ukutani
Sent using Jamii Forums mobile app
hamna kitu sipendi sebuleni kama kuona waya wa aina yeyote ndio manamkuu umempnania sana, kwa hiyo unamshauri ni bora akachonge sturi ntefu kuliko huo utoporo
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi unajisikiaje ukiwa unayaona mawaya waya kama hivo sebleni/chumbani kwako?Panasonic Hiyo.
Inaenda mwaka wa 13 nw tangu nautumia kuanzia 2007. Unanisumbua kidogo kwenye njia ya 1:5 nabaki kutumia 2 way channel. Na Nimepoteza Remote na Front Speaker Moja ila bado nawapa shida wenzangu nikiwasha wanaleta flash zao dj nakua mimi.
Kama kuna Mafundi watundu wa haya madude nisaidieni., maana hapa natwanga home party zote hata hivi ilivyo, kwa wanaojua sound wataelewa namaanisha nini juu ya huyu mnyama, kama atapatikana wakubadilishana nae atangaze dau atanipa system gani, nipo Dar.
Description:
Panasonic SA-HT928 5 Disc DVD/CD Changer
FM/AM Tuner
Component/SVideo Output
**REMOTE CONTROL EXCLUDED**
**TIDAK TERMASUK REMOTE CONTROL**
SB-WA928 Subwoofer
Type: 20 cm Cone type
Impedance: 4 ohm
Frequency Range: 34 Hz–220 Hz (j16 dB)
2 * SB-PF921 Front Speakers
Type: 2 way, 3 speaker system (Bass reflex)
Impedance: 6 ohms
Frequency Range: 92 Hz–50 kHz (j16 dB)
SB-PC920 Center Speaker
Type: 2 way, 3 speaker system (Bass reflex)
Impedance: 4 ohms
Frequency Range: 110 Hz–50 kHz (j16 dB)
- Still in good condition
- Self pick up
For more enquiries, whatsapp /Wechat or sms to me:-
JC - 011-56755337View attachment 1395316
Sent using Jamii Forums mobile app
boss umesema kweli lakini kama unaishi kwenye nyumba yako mbona unakua unahamisha tu maana ukuta ni wako,Extrovert TV yake itakaa eneo lile lile miaka na miaka na wewe Lucas Mobutu
unataka kuweka Tv ukutani ikae sehemu ile ile miaka na miaka,Utamu wa sebule ibadilike
mwaka huu iwe hv mwaka ujao iwe vile haya mambo ya kutundika TV ukutani mimi sioni kama ni sawa.
Tv me kukaa ukutani mimi hapana. Napendaga iwe chini chini.Extrovert TV yake itakaa eneo lile lile miaka na miaka na wewe Lucas Mobutu
unataka kuweka Tv ukutani ikae sehemu ile ile miaka na miaka,Utamu wa sebule ibadilike
mwaka huu iwe hv mwaka ujao iwe vile haya mambo ya kutundika TV ukutani mimi sioni kama ni sawa.