Pole sana kwa kutumia sound za madum za mchina.Nimekasirika sana na haya ma radio ya mchina, nataka sound ya nzuri ya kijanja yenye kutoka mziki halisi kuanzia vyombo mpaka mkitobwa haja sio wa pwaaa pwaa pwaa
Naombeni mawazo yenu tafadhali ikiwezekana na location..
Babe katika ubora wako, pele limepata mkunaji, uko vizuri sanaaPole sana kwa kutumia sound za madum za mchina.
Kwa budget yako karibu katika ulimwengu wa Sound zilizopimwa mkuu.
Kwa all-in one pack System kibongo bongo nakushauri bila kusita tafta mnyama kazi huyu Sony BDV-N9200 ambaye anamiliki burudani zote ndani kuanzia blu-ray disc playback, 4K Upscalling, bluetooth, Wifi active, Hi-Res audio playback.Kikubwa zaidi ana 1200watts RMS. Kwa bei ya mpya anacheza kwenye 2.2M ila ukienda Shop na mashuka ya Mmasai 2M cash lazma uondoke na mtambo. Hio option ya dukani.
Ila kuna Option ya mtumba pia, huku utapata kinu mujarabu. Kuna wana wanajiita Home_used_goods hapo instagram. Wako boko, wao wanashushaga mali toka mbele. Huko utakutana na akina Onkyo, Harman Kardon,Yamaha na brand za ulaya kama Bose. Kwa wanaojua miziki watanisaidia kukupa uhakika wa hizi brands. Combination inakuwa na Amp na tower speakers na subwoofer. Ni setup ya uhakika yani na bei zao zinachezea humo humo kwenye budget yako. Pia niliona recently wana hii Sony BDV-N9200 wao wanaisogeza kwa 1.4M imekuja kama mtumba ila ni Piru.
Kaka ushindwe wewe, pia fanya utafiti madukani kama utakuwa mpinzani wa Sony kisha nunua. Ila kwangu mie brand nyingine naonaga boloka tu. Sijapata kuona kinu cha maana walau Panasonic wanajitahidi.
Mkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9
Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.
Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina sony ya 2005 kama sio na 6, inagonga mziki balaa.Hahah ntamshushia makala soon, amegusa uwanja wangu wa nyumbani kabisa yani.
Hapa nakula "Associe" ya Fally Ipupa inaingia mpaka ku moyo kupitia kinu murua cha SONY.
View attachment 1394168
unatumia kinu cha mtengenezaji ganiMkuu achana na Sony wana mambo ya kifala sana hasa kwenye baadhi ya formats za media
Sent using Jamii Forums mobile app
Baelezee, Sony wana vinu aisee.. Hasa zile Hi-Fi zao za toka miaka ya 90 mpaka mid 2000's hapo ukiotea utajua utam wa muziki. Now napenda Hometheatre zao zaidi.
Wamesharekebesha hizo issues. Kwenye BDV series zina support codec nyingi tofauti na zile DAV seriesMkuu achana na Sony wana mambo ya kifala sana hasa kwenye baadhi ya formats za media
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah yes bebe, yani wamegusa nyumbani kabisa.
nadhani yeye ndio atakuwa Wa kwanza kujiulizaMkuu mimi nadhani tafuta music system nzuri ya Sony. Hawa jamaa ktk music wa namna hii ni wazuri na inadumu. Ila tafuta hata ya laki 8-9
Kwa Sony hiyo music system ni uhakika. Ila kama wataka mziki hata wa Party hapo nunua fidek mayai moja ile ya doubke, kisha na powered mixer, hapo na mic za UHF utapata.
Mziki wa fidek ni hatari, au nunua zile single mbili, moja weka upande huu na nyingine upande huu, hapo majirani lazima wakutafute wajue mziki unaotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app