Mkuu Maalim
Senior Member
- May 4, 2017
- 101
- 92
- Thread starter
- #41
1. Hamna aliyeshika simu yangu zaid ya mm mwenyeweKuna update imefanyika au ulienda ktk hiyo parental guide settings bila kwa bahati mabaya. Au kuna mtu alichezea simu yako akaweka on hiyo kitu kama age restrictions n.k.
2. La ziada ni kwamba nineifanyia Rooting labda hapo ndio inaweza ikawa jipya