Mkuu Maalim
Senior Member
- May 4, 2017
- 101
- 92
- Thread starter
- #21
Mkuu ninachokihitaji kwenye simu nakipata hata kwenye Tecno sina haja ya kununua iphone wala samsung.hiyo simu itakuwa ulipewa na mzaz alaf ameweka app ya parental guide hata zile website za ngono pia zinaweza zisiaccess
i joke,sema badilisha simu tafuta hata samsung kama sio iphone