Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Kuzaliwa ninini?
Kuishi ninini?
Kufa ninini?
Hapo ndio upo huo uchawi unaokana kuwepo
Shetani katengenezwa na Binaadamu, hamna shetani, hamna uchawi,.. Kuna kuzaliwa, kuishi na kufa, period
 
How did you know that? , I guess I may be older than you..

Mkuu kama mpaka hii leo, akili yako inakwambia kuwa kuna shetani basi ilikuwa haina haja ya wewe kuishi..a
You are right
 
Kuzaliwa ninini?
Kuishi ninini?
Kufa ninini?
Hapo ndio upo huo uchawi unaokana kuwepo
Hamna uchawi kuna stage tatu za maisha kuzaliwa, kuishi na kufa,

katika stage ya Pili, stage ya kuishi ndio binaadamu huwa tunachanganya mambo, sijui UCHAWI, UGANGA, MUNGU, JICHO LA. SABA nk, upuuzi mtupu

Haya mambo ni uzushi ulioletwa na Binaadamu kutokana na Uwezo wake wa kufikiri,uwezo wa Akili yetu ndio umetupeleka huko..
 
.g.s d xe .sf. d.
.s,o
!
!
Shetaniiii.... Okey Anyway Tutajua Tu Mdogomdogo
ww,. Ez,,wn .s,,s
.o.os
sd bb.
B . s s
.s. .w,s. .w,
/,
d.id. .gm. e
e.se
S.a. .i. S,,
o sS,

e.ose.s
. .a,wh.f ..w s,
.d,d
Ssw
S. ; am.r s,.ss e,
a
zsa
A s df
eseas,scr y .
o. E.. S s,z,,c m. z w s...s ..s .an
. .
ssd
S,
d..
.sA
s

.l

se ss,,s. r. .
 
areafiftyone my friend hata wewe unamuabudu shetani na unamkubali na unafanya naye colable nyingi tu... Unless uniambie wewe ni malaika na hutumii vitu vya kidunia...
Just imagine kama wewe ni mkristo mara ya mwisho kushika bible ni lini? Na kwa muda gani?
Je kwenye simu yako hakuna vitu vya ajabu ajabu umehifadhi?
Je pesa yako yoyote ile unaipata kihalali asilimia 100?
Je hutumii neno la siri popote?
Je hutumii bidhaa zenye barcode?

We are all followers of the devil and we worship him though we don't want to admit
No,Mshana mimi simuabudu Shetani.Inawezekana I fail here and there,but that does not mean I worship the Devil.Mshana, inawezekana pia natumia vitu vya Shetani,but unknowingly,kama najua hapana.

Lakini Mshanaa, ndio maana Bwana Yesu alikuja duniani,ili yale tusiyoweza kwa sababu ya mwili,yeye kwa njia ya msalaba atuwezeshe.Mshana we are not saved by adhering to the law, because no body can keep the law,but by faith in Jesus Christ.So tofauti yangu mimi na wewe Mshana ni kwamba mimi nimeamua kumuamini na kumtumikia Bwana Yesu na wewe umeamua kumtumikia Shetani,so mimi nahesabiwa haki bure,hata pamoja na makando kando kidogo niliyo nayo. I know Satan uses kushindwa kwangu at times to preach to me that I have failed,but that is lies,I am triumphant in Jesus Christ,as long as I have faith in him.So when God looks at me,he doesn't see me,but Jesus Christ who I belive in and who died for me at Calvary.Kwa hiyo utakatifu nilio nao mimi sio wangu,ila ni wa Bwana Yesu.

Come onboard Jesus Christ Mshana ili uoshwe dhambi zako,usamehewe dhambi zako,uhesabiwe haki bure,uwe mwana wa Mungu na Bwana Yesu akufanye kuwa mshindi in him.
 
chabuso akili ninini? Una akili ama huna?
Hamna uchawi kuna stage tatu za maisha kuzaliwa, kuishi na kufa,

katika stage ya Pili, stage ya kuishi ndio binaadamu huwa tunachanganya mambo, sijui UCHAWI, UGANGA, MUNGU, JICHO LA. SABA nk, upuuzi mtupu

Haya mambo ni uzushi ulioletwa na Binaadamu kutokana na Uwezo wake wa kufikiri,uwezo wa Akili yetu ndio umetupeleka huko..
 
tofauti yangu mimi na wewe Mshana ni kwamba mimi nimeamua kumtumikia Bwana Yesu na wewe umeamua kumtumikia Shetani [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]umenihukumu kwa mitazamo siwezi kukulaumu lakini hufahamu uhalisia wangu... Bado hili sio kosa...
Kuhusu wokovu kuna wengi wanatafsiri vibaya na wengi hawafahamu ya kwamba tunakombolewa kwa NEEMA tu... Si kwa elimu, ujanja wetu, umri wetu nknk... Na ni kwamba unapokombolewa kwa hiyo NEEMA iliyo kuu.. Hapo sio mwisho bali ndio mwanzo wa mapambano na shetani.... Asante kwa ushauri
Mshana inawezekana natumia vitu vya Shetani,but unknowingly,kama najua hapana.Lakini Mshana ndio maana Bwana Yesu alikuja duniani,ili yale tusiyoweza kwa sababu ya mwili,yeye kwa njia ya msalaba atuwezeshe.Mshana we are not saved by adhering to the law, because no body can keep the law,but by faith in Jesus Christ.So tofauti yangu mimi na wewe Mshana ni kwamba mimi nimeamua kumtumikia Bwana Yesu na wewe umeamua kumtumikia Shetani,so ninahesabiwa haki bure,hata pamoja na makando kando kidogo niliyo nayo,and I know Satan uses those to preach to me that I have failed,but that is lies,I am triumphant in Jesus Christ.So when God looks at me,he doesn't see me,but Jesus Christ who died for me at Calvary.Kwa hiyo utakatifu nilio nao sio wangu,ila ni wa Bwana Yesu.Come onboard Jesus Christ Mshana ili uoshwe dhambi zako na Bwana Yesu akufanye kuwa mshindi in him.
 
chabuso akili ninini? Una akili ama huna?
Akili ni uwezo wako wa kuitumia organ inayoitwa Brain..

Inasemekana binaadamu tunatumia asilimia ndogo sana ya akili yetu, could be 0.1% out of 100%..

Kuna watu kama akina Einstein, Faraday, Tesla, Isac Newton nk, inawezekana labda wametumia 0.3% ya uwezo wa Ubongo wao..

Mtu kama wewe na wengine wanaoamini mambo ya UCHAWI , UGANGA nk, labda mnatumia 0.001%ya uwezo wa Ubongo wenu,..

Watu kama nyinyi ni watu ambao mmpenda mambo ya MKATO, hamtaki KUFIKIRI, majibu yenu yanakuwa RAHISI RAHISI
 
chabuso umetafsiri akili kwa kiingereza ila hujatoa maana... Halafu umehukumu bila kuwa na misingi na ithibati... Hebu calm down... Tuelimishane taratibu na kwa weledi huna haja ya kupaniki my brother
Akili ni uwezo wako wa kuitumia organ inayoitwa Brain..

Inasemekana binaadamu tunatumia asilimia ndogo sana ya akili yetu, could be 0.1% out of 100%..

Kuna watu kama akina Einstein, Faraday, Tesla, Isac Newton nk, inawezekana labda wametumia 0.3% ya uwezo wa Ubongo wao..

Mtu kama wewe na wengine wanaoamini mambo ya UCHAWI , UGANGA nk, labda mnatumia 0.001%ya uwezo wa Ubongo wenu,..

Watu kama nyinyi ni watu ambao mmpenda mambo ya MKATO, hamtaki KUFIKIRI, majibu yenu yanakuwa RAHISI RAHISI
 
Back
Top Bottom