"Shetani ni Shetani tu Hata awe na sura gani,he is inherently evil!" Hii ni muhimu watu kujua.View attachment 393480
Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.
Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirika wake kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.
Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE
View attachment 393483
View attachment 393484View attachment 393485
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji44][emoji23][emoji116]
!
!
Tatizo siamini kama ni mbaya kwa kiasi hicho mkuu, kibaya zaidi source za taarifa zake ziko so biased yani
Sawa Mshana kama Shetani is such an evil being, kwa nini uwe na mahusiano naye? I mean what benefits are you getting.Please be open and kind enough to explain to us.View attachment 393480
Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.
Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirika wake kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.
Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE
View attachment 393483
View attachment 393484View attachment 393485
Mshana ni utata mtupu mkuu,ila mind you huyu,jamaa amejitoa fully kwake.Hata hivyo sijui anapata faida gani,ila may be ni yale yale,ukiniabudu haya yote nitakupa.Lakini unapata from an evil being while you know very well that you will finally face terrible consequences for your actions?Sielewi.Mshana please respond to these genuine concerns.MSHANA UNATATANISHA SANA
Samahani boss wangu.Sio ulabu ni ugimbi mixer yokozuna
My friend. You are still very young. Be patient you will see.Shetani katengenezwa na Binaadamu, hamna shetani, hamna uchawi,.. Kuna kuzaliwa, kuishi na kufa, period
How did you know that? , I guess I may be older than you..My friend. You are still very young. Be patient you will see.
Mshana ni utata mtupu mkuu,ila mind you huyu,jamaa amejitoa fully kwake.Hata hivyo sijui anapata faida gani,ila may be ni yale yale,ukiniabudu haya yote nitakupa.Lakini unapata from an evil being while you know very well that you will finally face terrible consequences for your actions?Sielewi.Mshana please respond to these genuine concerns.