Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

View attachment 393480

Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.

Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirika wake kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.

Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE

View attachment 393483

View attachment 393484View attachment 393485
View attachment 393480

Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.

Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirika wake kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.

Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE

View attachment 393483

View attachment 393484View attachment 393485
Kuna haja gani ya yeye kuendelea kuachiwa huru wkt anaharibu vitakatifu vya mungu..?
 
Ok.. Dhana ina pande mbili dhanifu na dhahiri unazungumzia ipi mojawapo?
Kuondoa utata nimekujibu kwa mujibu wa kitabu Cha biblia mungu ndo alimuumba shetani lkn kwanini anamuacha wkt anawasababisha binadamu waende motoni...?
Ukiniuliza dhana ipi nitaelekea ya kudhania maana simjui mungu Hivyo kwangu ni dhana I mean uungu.
 
Kuondoa utata nimekujibu kwa mujibu wa kitabu Cha biblia mungu ndo alimuumba shetani lkn kwanini anamuacha wkt anawasababisha binadamu waende motoni...?
Ukiniuliza dhana ipi nitaelekea ya kudhania maana simjui mungu Hivyo kwangu ni dhana I mean uungu.
Ok [emoji108] sawa asante lakini naomba nikusahihishe Bible inamtaja Mungu sio mungu
 
Hapana ndugu hakuna kitu chenye umoja duniani bila wingi ama kinyume chake... Kama unakifahamu chochote nitajie
Sizungumzii wingi ama umoja hakuna tofauti Kati ya mungu na Mungu hata nikikuambia utamke kwa herufi kubwa na ndogo utatamka Kama neno lilivyo.. huko kutofautisha ni mapokeo tu
 
Sizungumzii wingi ama umoja hakuna tofauti Kati ya mungu na Mungu hata nikikuambia utamke kwa herufi kubwa na ndogo utatamka Kama neno lilivyo.. huko kutofautisha ni mapokeo tu
Hujanielewa nadhani... Rejea reply husika... Lakini bado tofauti iko tena kubwa tu kati ya Mungu na mungu... Ni sawa na KENZY na kenzy na KENZY
 
Kama umeoa mwanammke mpenda makuu.mpenda pesa. Lazima umjue shetani.
 
Back
Top Bottom