Tunajifunza taratibuPole kwa kuchelewa kulijua hilo.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nikilijua nawasanua wana wasije kupotea wakiwa wanajionaPole kwa kuchelewa kulijua hilo.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hiyo ni dutu ndogo, huku watu wanakutana na majabali makubwa na wanashindwa kuishi kabisaNdugu mwandishi hio 50/50 ipo good sana kama Mimi hapa Nina week nimelala ndani nakula na kunya yeye yupo job
Wanaamini wanaona wakiwa wameweka obstacle kwa mbelehyo picha maana yake sjaelewa yani human lamp?? Yaani waangazwe au?
Shida ni wanaoambiwa, misemo ya "wanawake tukiwezeshwa tunaweza sio kabisa" waishie kusema wanawake wanajiweza na sio kungoja kuwezeshwa. Feminists wanapigania 50/50 lakini si 50/50 ya majukumuMama Dk. Samia Ameshasema "iwe 50/50 WITH DELIVERY! Sio 50/50 promo tu."
Mpaka sasa Yanga 3 - 0 IhefuEmbu tudili na mambo menginee tuache kuwaongelea hawa wanawakee km tunaweza wakuu
50/50 haina muongozo? Ninachojua ni kwamba mtu ndiye anayeamua kuumia na si kwamba anakosa chaguo (option).
Mkuu usiwaogope kabisa .......tena ni wazuri mno.Hapo hakutakuwa na ndoa ila kutakuwa na mtu anayeng'ang'ania vitu vilivyomzidi uwezo na mwisho mtatukanana tu.
50/50 wanayoipigania wanawake si ya majukumu bali ni kupata vitu kwa urahisi (bila kuvihangaikia).
View attachment 2931238
Ukisikia "paaa" ujue amekukosa aliyekulenga kafanya makosa. Ulichokiongea ni incidence ya one in a millionMkuu usiwaogope kabisa .......tena ni wazuri mno.
Nilikuwa naye Mchaga wa Rombo aisee akiwa kwenye Insta na Facebook utajua ni Shetani.
Lakini alikuwa anakuja kwangu namkamua bila hata shiling moja na ananipikia na kunifuria nikiwa kwanza Mwanachuo enzi hizo.
Yaani wale wanakuwaga kama Repercusion fulani kutokana na madhira waliyopata kwa wanaume.
But Deep inside they do not mean it.
Nikikupa stori za Shangazi wa Kisiwani utaduaaa na hutoamini.
Hii 50/50 sijawahi kujua wanaongelea nini.Ndugu mwandishi hio 50/50 ipo good sana kama Mimi hapa Nina week nimelala ndani nakula na kunya yeye yupo job