Nikijibiwa hili nahamia Chadema

Nikijibiwa hili nahamia Chadema

Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Hivi kuna Mahakama yoyote iliyowahi kuthibitisha haya unayosema? leta kwanza ushahidi wa kimahakama,au ashahidi ulionao wewe, ndo itakua rahisi kujibiwa! vinginevyo ni maneno matupu unayosema na sidhani kama yana msingi wowote!
 
Nani kakudanganya kuwa kuhusishwa ndo kufanya?

No Research No Right To Speak!

Upinzani upo kwa Ajili ya kuisema Serikali ili itekeleze Majukumu yake,na sio kama unavyosema wewe eti Chadema wamefanya nn.

Keti Chini Jifunze ndo urushe Thread Humu.
 
Napenda kuongeza ,

Hili suala la Lema kubaka chizi huku UK mbona hatujasikia TAMKO?

Wakinijibu haya mimi nitakuwa wa kwanza kurudi KADIMA

Manina wallah.... leo hii unamuita chizi demu wako... eti Lema alibaka... we chizi kweli... Na mimi ukinijibu hili nitakuona sio chizi. tueleze Ni kwa nini ulifukuzwa upolisi??? Lete jibu.
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Fafanua Mkuu, Tindikali Zilimwagwa Wapi Na Unaushahidi Upi Wa Kuihisi Chadema. Nani Alitishwa Kwa Bastola Na Chadema, Cc Tunawajua Wale Tu Walio Tiishwa Na Aden Lage. Umeuliza Tumefanya Nn WANAJAMVI MPENI CONTACT ZA BALALI AMUULIZE ALIKIMBIA NINI!
 
Ha ha ha ha ....MaCCM mnakazi ya kufanya...Naona Nappe amewakurupua hapo Lumumba baada ya kukosa majibu ya thread PISTO.......Ile thread tumeshawaomba mods waiweke STICKY mpaka majibu yapatikane...
Umempa nape nafasi kubwa mno ktk maisha yako kuliko hata mkeo.
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Unaiga kijnga sana

Pro CCM wengi hawa maono wala hoja zaidi ya ushabiki tu, hata kama wamesoma na kupata vyetisssssdzx xxxzzzzzzx
 
Fafanua Mkuu, Tindikali Zilimwagwa Wapi Na Unaushahidi Upi Wa Kuihisi Chadema. Nani Alitishwa Kwa Bastola Na Chadema, Cc Tunawajua Wale Tu Walio Tiishwa Na Aden Lage. Umeuliza Tumefanya Nn WANAJAMVI MPENI CONTACT ZA BALALI AMUULIZE ALIKIMBIA NINI!
Acha kujitetea, jibu swali uliloulizwa kwenye thred
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

nitajie huduma muhimu maji,afya,elimu,miundombinu ya UHAKIKA kwa mtanzania Ccm imefanya tangu tupate uhuru?
 
Kweli asiejua maana usimpe maana.... inamana wewe ni kipofu au hupendi kufwatilia mbo?? Chadema wamewafanya cdm waamke mana walijasahau sana na kuifanya hii nchi kama ya kwao
 
Manina wallah.... leo hii unamuita chizi demu wako... eti Lema alibaka... we chizi kweli... Na mimi ukinijibu hili nitakuona sio chizi. tueleze Ni kwa nini ulifukuzwa upolisi??? Lete jibu.
Hakupita kipimo cha akili ubongo wake una matatizo
 
Hamia CDM hata bila kujibiwa unajichelewasha
mwenyewe kwa kujizunguusha tu.
 
Kama umeenda shule basi ulikuwa unaburuza mkia. Jipange tena mkuu.
 
Kwa jinsi ulivyokopi na uandishi wako ulivyo, unadhihirisha kabisa jinsi ulivyo mweupe kichwani!

mkuu ni vyema tujikite katika hoja. usipindishe mjadala kama umeelemewa kaa pembeni kimya.
 
Hongera sana, umeishaingiza buku 7 siku imepita hiyo!
[h=5]VIJANA WANAHARAKATI WA CHADEMA WAFUMWA LIVE WAKIWA KAZINI. KAZI YAO NI KUTUKANA NA KUZUSHA MAMBO YA UONGO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII, JIONEEE MWENYEWE!!!!!!!.[/h]


 
Back
Top Bottom