Nikijibiwa hili nahamia Chadema

Nikijibiwa hili nahamia Chadema

Napenda kuongeza ,

Hili suala la Lema kubaka chizi huku UK mbona hatujasikia TAMKO?

Wakinijibu haya mimi nitakuwa wa kwanza kurudi KADIMA

Na mm nauliza lile gari la KUB, Mbowe si alilikataa? imekuwaje sasa yuko nalo mtaani?
 
Pro CCM wengi hawa maono wala hoja zaidi ya ushabiki tu, hata kama wamesoma na kupata vyetisssssdzx xxxzzzzzzx
werema ameshauri tusitumie vichwa kufugia nywele peke yake kama unavyofanya wewe
 
Nani kakudanganya kuwa kuhusishwa ndo kufanya?

No Research No Right To Speak!

Upinzani upo kwa Ajili ya kuisema Serikali ili itekeleze Majukumu yake,na sio kama unavyosema wewe eti Chadema wamefanya nn.

Keti Chini Jifunze ndo urushe Thread Humu.
huna hoja
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Unaiga kijnga sana

Lunyungu, Pro CCM wengi wanashangazaga sana kwa hoja zao dhaifu zisizo mashiko. Hawana hoja zao wenyewe hata kama wamesoma na kupata vyeti vikubwa! Hii inaanzia huko juu kabisa Magogoni, Lumumba, Bungeni hadi mashinani.

Wewe uliyeleta hoja T2015CCM ni kielelezo tosha cha udhaifu wenu. Jana kuna GT kaleta hoja kuwa yuko tayari kujiunga na CCM iwapo mngemueleza ktk miaka 50 ya Uhuru, CCM mnaweza kumwonyesha huduma gani ya Jamii inayotolewa bila kusuasua, hakuna aliyeweza kujibu- si Mghaibu Chris, FF, Mingoi, wala Ritz!

T2015CCM ndio 'kichwa' ktk wote maana umeamua kugeza hoja kwa kuleta kiroja!
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?
Lack of creativity,hukuwahi kufikiri kuwa hili linaweza kuwa swali zuri.Umechelewa kuuliza sasa halitakuwa na mashiko tunamalizia kwanza lile then ndo nawe ufikriwe
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Silly thread
 
VIJANA WANAHARAKATI WA CHADEMA WAFUMWA LIVE WAKIWA KAZINI. KAZI YAO NI KUTUKANA NA KUZUSHA MAMBO YA UONGO KWENYE MITANDAO YA KIJAMII, JIONEEE MWENYEWE!!!!!!!.


Nini kinawatambulisha kuwa ni vijana wa CHADEMA?
 
Chadema kimehusishwa mara kadhaa katika matukio ya kinyama ya kiuwaji mf kumwagia watu tindikali.kulisha watu sumu na kutishia watu kwa bastola. Kwanini hamtupi watanzaniamajibu ya kutosha?
Mmefanya nn tangu kimeanzishwa zaidi ya maandamano na kuapa kuwa nchi haitatawalika na kuhamasisha vurugu?

Niliwahi kuomba mods watuwekee kidude cha 'dislike'. Bila shaka watafanya hivyo ili nianze na thread hii.
 
kwahiyo kabla ya jibu la swali kupatikana wamekimbilia huku Hahahaha ccm hii hamna kitu..
 
Back
Top Bottom