Niite Nikupikie

Niite Nikupikie

kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama zaidi ya kwenda kula kwa mgahawa/restaurant, kuanzia maandalizi , mahitaji , kuosha vyombo , aaarrrggghhhh shit. hii project yako sioni ikiendela labda u switch to someone else wife . good luck though

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran kwa mawazo yako ila nikujulishe tu tangazo langu linajieleza wazi kabisa kua walengwa hapa ni WATU WENYE FAMILIA au hata kama upo single basi unatarajia kupata wageni flan basi unaniita nakupikia au shughuli flani unaniita nakupikia, lakini kama chakula ni cha mtu mmoja hata mimi nashauri uende tu mgahawani sababu siwezi kupika kwa bei ya mgahawa.
lakini nikwambie pia mimi ni Mke na ni Mama pia na hii project labda ni mpya kwa jamii forum lakini kwa sehemu nyingi za jiji la Dar sio mpya na watu wanafurahia huduma kwa miaka mitano sasa tangu nianze.
 
Oooh! i smell love lovie dovieee,
Siku ya kutembeleana niiteni niwapikie msosi mtamu mle mshibe.

i bet itakua on valentine day.
Ooooh yeeess!!

hilo ni booonge 1 la wazo!

Jiandae bibie,we'll keep you posted!

cc:my love Rebeca 83 kwa utekelezaji!😘😘😘😘😘
 
Ooooh yeeess!!

hilo ni booonge 1 la wazo!

Jiandae bibie,we'll keep you posted!

cc:my love Rebeca 83 kwa utekelezaji!😘😘😘😘😘

Na mimi nimeliafiki honey,

Ila siku nyingine,ningependa nikupikie mwenyewe 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Na mimi nimeliafiki honey,

Ila siku nyingine,ningependa nikupikie mwenyewe 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
your wish is my command,

anytime,anywhere,anyhow,,

sweetheart!😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Wapendwa habari zenu,

Napika chakula majumbani,
Kama unawageni na unatamani ungewapikia vyakula tofauti tofauti lakini huwezi au muda mdogo wewe niite nikupikie,

Kama una tamani familia yako ingepata lunch au dinner ya aina fulani wewe niite nikupikie.

Napika vyakula vya aina zote kwa bei nafuu sana.
Napatikana Dar es salaam Tanzania.
Mawasiliano 0745438007.
Karibuni.
Unajua kutengeneza kichuri + nyama choma?
 
Back
Top Bottom