Niite Nikupikie

Niite Nikupikie

Faida ya kumuita mpishi aje kwako kukupikia,
Kwanza unaona usafi wake,
Pili unaweka vitu uvipendavyo wewe katika chakula chako nazungumzia spices sababu wewe ndio unanunua,
Tatu ni ruksa kukaa kumuangalia anavyopika na ukajikuta umejifunza pishi flani lililokua linakutatiza,
Nne na tano ongezea.

Kwa wale ambao bado sijawahudumia mimi sifanyi kazi peke yangu nipo na crew yangu wa watu watano kwa hiyo huduma ni ya haraka na ya uhakika.
 
kupika chakula cha mtu mmoja ni gharama zaidi ya kwenda kula kwa mgahawa/restaurant, kuanzia maandalizi , mahitaji , kuosha vyombo , aaarrrggghhhh shit. hii project yako sioni ikiendela labda u switch to someone else wife . good luck though

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe utakuwa una mgahawa 😀😀😀😀
 
Tutumie hata picha ya vyakula tuamasike na bila kusahau ya kwako ili tuhamsike zaidii
Wapendwa habari zenu,

Napika chakula majumbani,
Kama unawageni na unatamani ungewapikia vyakula tofauti tofauti lakini huwezi au muda mdogo wewe niite nikupikie,

Kama una tamani familia yako ingepata lunch au dinner ya aina fulani wewe niite nikupikie.

Napika vyakula vya aina zote kwa bei nafuu sana.
Napatikana Dar es salaam Tanzania.
Mawasiliano 0745438007.
Karibuni.


UPDATE; Ndugu wateja ahsanten sana kwa muitikio wenu nyote mlionipigia simu na zaidi mlioweza kuniita na kuwapikia.
Niwakumbushe tu kwa wale waliolalamika gharama kubwa kwa mtu mmoja aliyetaka kupikiwa, ipo hivi, tangazo limekua wazi kabisa kua wahusika hapa ni familia au event yoyote ungetaka mpishi basi unanipigia nakuja, na kama wewe mtu mmoja ukitaka kupikiwa ugali samaki haitanifanya nikupikie kwa elfu 2 ni wazi nitakutoza walau nusu gharama ya huduma niifanyayo.
Unaweza kua mmoja lakini ukataka kupikiwa vyakula vingi ukaweka kwenye friji na kutumia kidogo kidogo hiyo itakua sawa.
Nawakumbusha msome tangazo na kulielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom