Niite Nikupikie

Niite Nikupikie

NAKUPENDA!!! πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
NAKUPENDA!!! πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Umenifanya nilie zaidi ya bwana Pilipili😒😒😒😒😒😒😒😚😚😚

nami nakuahidi hatua-do mpaka tukishaoana sababu,


NAKUPENDA ZAIDI!😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Wapendwa habari zenu,

Napika chakula majumbani,
Kama unawageni na unatamani ungewapikia vyakula tofauti tofauti lakini huwezi au muda mdogo wewe niite nikupikie,

Kama una tamani familia yako ingepata lunch au dinner ya aina fulani wewe niite nikupikie.

Napika vyakula vya aina zote kwa bei nafuu sana.
Napatikana Dar es salaam Tanzania.
Mawasiliano 0745438007.
Karibuni.
Ugali wa mtama wa watu wa 5 na samaki kamongo yule bei gani unachaji. Basics tu, vitu mahitaji nanunua mimi au wewe ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenifanya nilie zaidi ya bwana Pilipili😒😒😒😒😒😒😒😚😚😚

nami nakuahidi hatua-do mpaka tukishaoana sababu,


NAKUPENDA ZAIDI!😘😘😘😘😘😘😘😘

wow! Asante kwa kunipenda...promise to love you forever!

ila usilie bwana,na mimi unanifanya niwe na huzuni….πŸ˜‰πŸ˜‰,

Ni kweli hatuta -do ???kweli wewe ni mwanaume wa pekee umenifanya nijione na bahati sana leo..thanks.
 
Back
Top Bottom