Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
dah,mwanangu wewe ni mkuda,
au mdaku!๐๐๐๐๐
dah,mwanangu wewe ni mkuda,
Hawezi acha kufunika aisee,huku Njombe baridi!Teh..Nipo kiongozi..Asali hawazifuniki siku hizi..Au Rebecca bado anafunika??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huduma ni ya chakula cha kupikwa tu au hata kibichi?Hapana, si yangu.
nlienda kuangalia kama ameweka picha ya madikodiko nithaminishe!!
asante kwa kunielewa!![]()



Safi sana..Ntahamishia biashara njombe aiseeHawezi acha kufunika aisee,huku Njombe baridi!
Sawa mama..BaadaeKusema nitapika mwenyewe ndio wivu? Halafu uzi wa biashara huu baby, tutaongea vizuri nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh hii mbona sijaelewa... Nadhani ilitakiwa jioni nakukuta, unapika unaenda zakoHuduma ya Kupikiwa kila siku jion ipo kwa maana nikirud zangu nakukuta unapika nakula unaenda zako.
Ha ha ha ha Khantwe si anatakiwa awepo kipind nakula ili kama kuna any comment atoe fast track response? na kuoanga next day ntakula nin?Mmh hii mbona sijaelewa... Nadhani ilitakiwa jioni nakukuta, unapika unaenda zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba ya simu anayo usitafute excuse hapa hahahaHa ha ha ha Khantwe si anatakiwa awepo kipind nakula ili kama kuna any comment atoe fast track response? na kuoanga next day ntakula nin?
Ha ha ha ha ha ha ha ha sikuwez sio kwa kukataa huko?
๐๐๐๐๐๐
Katika ubora wako.