Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
nimelia kwa furaha ya kutoamini,mana wanga walisema sina hadhi ya kuwa nawe eti!wow! Asante kwa kunipenda...promise to love you forever!
ila usilie bwana,na mimi unanifanya niwe na huzuni….😉😉,
Ni kweli hatuta -do ???kweli wewe ni mwanaume wa pekee umenifanya nijione na bahati sana leo..thanks.
Na hatuta-do kaaabisa,
na kesho tuwahi misa ya kwanza tumwambie Baba Paroko awe shahidi!




