Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,446
Ok! hamis77 a.k.a Bintiwhite a.k.a Jerrymsigwa
OkWe jamaa mbona mbishi sana kaka? Mimj siwajui hao unaniunga nao, ishu ya ukatoliki na upagani iko wazi tu kwa kila
Mwenye akili, rejea post yangu ya papa alichofanya kwa waLutheri mwaka jana. Kaomba radhi kwa maudhi na mauaji ya waprotestant.
Freemasons+rc (kahaba) = chukizo la uharibifu
Hivi mwisho wa dunia ni lini tena..??
So what ?We jamaa mbona mbishi sana kaka? Mimj siwajui hao unaniunga nao, ishu ya ukatoliki na upagani iko wazi tu kwa kila
Mwenye akili, rejea post yangu ya papa alichofanya kwa waLutheri mwaka jana. Kaomba radhi kwa maudhi na mauaji ya waprotestant.
Freemasons+rc (kahaba) = chukizo la uharibifu
Jiulize kama ni chama kwanini iwe siri, kwanini ?? Na sikuizi kila mahali mabango yamejaa kwa wanaotaka kujiunga , halafu kuna li mtu linakuja kujifanya lina elimu ambayo wengine hawana kwamba lenyewe janja saaaannaaa hivyo mfuate upumbavu wake.kwa kweli hizi habari za masonic ma iluminat hakua ambae anaweza kuelezea uhalisia wake, zipo mada nyingi sn zinazo wahusu na nyingi ni upotoshaji na chache ni uhalisia, lakini ukweli frimasoni si chochote si lolote katika vyama ya siri.
Unapoteza muda wako bure, mada zimekushinda umebaki kuangalia personality za watuOk! hamis77 a.k.a Bintiwhite a.k.a Jerrymsigwa
Achana nae mkuu ,muache ahangaike na personality, mada zishamshindaWe jamaa mbona mbishi sana kaka? Mimj siwajui hao unaniunga nao, ishu ya ukatoliki na upagani iko wazi tu kwa kila
Mwenye akili, rejea post yangu ya papa alichofanya kwa waLutheri mwaka jana. Kaomba radhi kwa maudhi na mauaji ya waprotestant.
Freemasons+rc (kahaba) = chukizo la uharibifu
Jerrymsigwa
AROON
hamis77
@bintwhite
Hii ni ID moja
Hawa ndiyo wale mwaka fulani walikwenda airport wakitaka kusafiri eti Mungu kawatuma wakahubiri kwa mataifa, hawana visa, wala tickets, wakakaa airport wasijue wanaenda wapi, eti leo ndiyo wana jifanya wahubiri kutwa wakitukana makanisa mengine, watambueni hawa.
Hahaaa hhaaaa mnapoteza muda bure, mm hao siwajui, naona mada zinawaelemeaJerrymsigwa
AROON
hamis77
@bintwhite
Hii ni ID moja
Hawa ndiyo wale mwaka fulani walikwenda airport wakitaka kusafiri eti Mungu kawatuma wakahubiri kwa mataifa, hawana visa, wala tickets, wakakaa airport wasijue wanaenda wapi, eti leo ndiyo wana jifanya wahubiri kutwa wakitukana makanisa mengine, watambueni hawa.
Najiulizaga watu kama hawa nani anawalipa kwa hii kazi?
Acha nao hao, akili zao zimeshikwa na huyo otorong'ong'oUmeshikiwa akili na Otorong'ong'o?
Mm ni mtu mwingine kbs simjui huyo Aaron na wengine, mbona hamsikii nyie waumini wa kahaba wa Ufunuo?
Unahangaika bure tu.Umeshikiwa akili na Otorong'ong'o?
Mm ni mtu mwingine kbs simjui huyo Aaron na wengine, mbona hamsikii nyie waumini wa kahaba wa Ufunuo?