Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Nijibu swali kwanza. Then niulize swali basi na wewe vile vile ni tapeli tu

Swali si lazima lijibiwe na swali,lakini swali kutojibiwa kwa swali haibadilishi swali,jibu la swali linaweza kuwa swali litakalojibu swali kwa kuuliza swali.
 
Free ideas,

"The very word "secrecy" is repugnant in a free and open society; and we are as a people inherently and historically opposed to secret societies, to secret oaths and to secret proceedings. We decided long ago that the dangers of excessive and unwarranted concealment of pertinent facts far outweighed the dangers which are cited to justify it. Even today, there is little value in opposing the threat of a closed society by imitating its arbitrary restrictions. Even today, there is little value in insuring the survival of our nation if our traditions do not survive with it. And there is very grave danger that an announced need for increased security will be seized upon by those anxious to expand its meaning to the very limits of official censorship and concealment...JF kennedy Speech ..April 27, 1961

...........secret sucks.............
 
Swali si lazima lijibiwe na swali,lakini swali kutojibiwa kwa swali haibadilishi swali,jibu la swali linaweza kuwa swali litakalojibu swali kwa kuuliza swali.

Unaleta ngonjera tu hapa. Jibu swali au ndo biashara matangazo?..
 
Nilijua mapema kwamba hautaweza kuelewa niluichoandika

Sijaelewa nini? Nimekuuliza swali umeshindwa kunijibu...

Hili swali jingine hujajibu "hiyo avatar yako ni moja ishara ya Freemason??
Pili hiyo avatar moja ya ibada ya freemason??"
 
freemasons are the anti-christ very evil and worse ,they where from babylon the first kingdom now rome the 4th and worldwide ,aim to rule the world with one order and 666 seal and finally to HELL
 
Sijaelewa nini? Nimekuuliza swali umeshindwa kunijibu...

Hili swali jingine hujajibu "hiyo avatar yako ni moja ishara ya Freemason??
Pili hiyo avatar moja ya ibada ya freemason??"

Kwa nn unajaji Avatar yangu?,Kwa nn unaihukumu tayar kwa kuuliza swali? .
 
"Reading between lines"huo ndio msemo wa waingereza. Ukimsoma mleta mada katikati ya mistari, unaweza kugundua ni mmojawapo wa masonic member au anataka kujiunga nao ila anakuwa na hofu inayotokana na namna watu wanavyohusha imani ya masonic na ushetani, kwa hiyo huenda kilichomfanya aanzishe mada hii ni kupata faraja ya uongo kwa watu wasiojua chochote ama waumini wa mason.
Mwanzo amesema kuwa hajatumia chapisho lolote ama historia ktk mada yake! lakini akamtaja mfalme Solomon! je anamjua? alimjuaje?
 
Last edited by a moderator:
"Reading between lines"huo ndio msemo wa waingereza. Ukimsoma mleta mada katikati ya mistari, unaweza kugundua ni mmojawapo wa masonic member au anataka kujiunga nao ila anakuwa na hofu inayotokana na namna watu wanavyohusha imani ya masonic na ushetani, kwa hiyo huenda kilichomfanya aanzishe mada hii ni kupata faraja ya uongo kwa watu wasiojua chochote ama waumini wa mason.
Mwanzo amesema kuwa hajatumia chapisho lolote ama historia ktk mada yake! lakini akamtaja mfalme Solomon! je anamjua? alimjuaje?

Hapana hauko sahihi,usinihukumu hivyo.
 
Last edited by a moderator:
mtoa mada sasa kama ni kitu ulichowaza wewe bila kupitia machapisho umejuaje kama ilianza enzi za solomon kwan ulikuepo?au ndo unajisemea tu.
 
Back
Top Bottom