Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,419
- 14,187
Ukweli. So huko uislamu unakotawala hizi Mambo hayapo mkuu. Kama ni ivyo mbona tumechelewa sana. Namie naweza nikapigania iyo hii Hali ije Ila sidhani Kama dunia itakua ivyo na je mbinguni kitakuwa na nini. Hebu tucheki huko Lebanon ama Pakistan mujahirina hawataki mademu wasome ama watakuwa na kiburiAmani itatawala, biashara zitaendeshwa kihalali, maendeleo yataonekana, dhulma, unyanyasaji, mauwaji, ufisadi, wizi, ujambazi n.k yote hayatakuwepo.